mwanzepele
Member
- Nov 19, 2019
- 5
- 3
Naunga mkojo or sorry mkono hoja ,shida ni kwamba nilivuta ikiwa bado haijakauka vizuriChukua ya South Africa, kipimo cha kwanza ni Safari ya South to Tanzania. Zinafika vizuri na unaendelea na kazi hazina tatizo
Very reliable ila uikute katika hali nzuri na uzingatie service ! @120k miles turbo diesel bado ni mpya huwa zinaenda hadi 1mil kmNataka kununua Volkswagen Golf ya diesel (2.0 TDI GT DSG) ya mwaka 2007 ya Uingereza. Naombaeni ushauri kwa ambaye ana ujuzi wa gari hizi haswa kwenye upande wa maintanance na changamoto zake kama imezidi 120K miles. Je ni reliable na nnaweza nikawa nnasafiri nayo masafa marefu?
South africa majimbo mengi golf nyingi sio diesel variant, labda kama ataenda eastern cape na port elizabeth kule wazungu wanazo golf za dieselChukua ya South Africa, kipimo cha kwanza ni Safari ya South to Tanzania. Zinafika vizuri na unaendelea na kazi hazina tatizo
Webuy Car Dealers wanazo na zipo well maintainedSouth africa majimbo mengi golf nyingi sio diesel variant, labda kama ataenda eastern cape na port elizabeth kule wazungu wanazo golf za diesel
Bei zao zipoje?Webuy Car Dealers wanazo na zipo well maintained
✅Chukua ya South Africa, kipimo cha kwanza ni Safari ya South to Tanzania. Zinafika vizuri na unaendelea na kazi hazina tatizo
Zinaanzia Rand 150,000 kwenda juu.Bei zao zipoje?
Zinaanzia Rand 150,000 kwenda juu.
Polo ni kama downgraded. Version ya golf , polo inaweza kuwa nafuu kwenye maintenance, golf ni more reliable.Hivi kati ya Golf na Polo, ipi ni more reliable? na unafuu kwenye maintenance?
-Kaveli-
Chukua chuma iyoNataka kununua Volkswagen Golf ya diesel (2.0 TDI GT DSG) ya mwaka 2007 ya Uingereza. Naombaeni ushauri kwa ambaye ana ujuzi wa gari hizi haswa kwenye upande wa maintanance na changamoto zake kama imezidi 120K miles. Je ni reliable na nnaweza nikawa nnasafiri nayo masafa marefu?
Ushauri bora kabisa huu.Chukua ya South Africa, kipimo cha kwanza ni Safari ya South to Tanzania. Zinafika vizuri na unaendelea na kazi hazina tatizo