Ushauri wa Laptop nzuri kwa ajili ya graphics design

Ushauri wa Laptop nzuri kwa ajili ya graphics design

Ndugu yangu Nakupa ushauri WA bure tu Na ukiufata UtAkuja kunishukuru

Kwanza unaogopa kujifunza Na pili umezuia Watu kutiririka madini Mengi kuhofia kukuchanganya sasa IPO Hivi. Kama unataka kujifunza graphics designer tafuta ofisi ya mtu Anayefanya Hizo kazi Kisha omba kukaa ofisini kwake kwa lengo LA kujifunza Na Kumsaidia bila malipo yoyote ndani ya huo mwezi UKIWA Mjanja Utapata MAHITAJI yako Na unaweza kumtumia Mwalimu wako Huyo kwenda Naye dukani mkapata mashine nzuri sana

Kama unataka kupata mashine yoyote Basi wafate hao waliokushauri hapo JUU (Sina maana kwamba Ni mbaya no ni nzuri Sana) tatizo lipo kwako utaona unavyoenda kucheza ana anado dukani utajikuta Unachagua shepu nzuri kumbe ndani ni sifuri

Kama hutaki kukaa kwa mtu kujifunza tafuta mtu mkachague Naye kwa UTARATIBU vizuri
Asipoelewa hapa ana lake moyoni.
 
Nunua Imac Desktop corei5 utakua umemaliza. Laptop zinacomplication sana.
 
Brand Name au Model sio issue sana... bali unatakiwa uzingatie Graphics Card ya Pc, RAM na aina ya Processor. Nakushauri fanya window shopping waambie wauzaji wa laptop watakukidhi hitaji lako.
Mcheki jamaa instagram anaitwa computerbeipoa yupo Karia Koo karibu na Mnazi Mmoja...
 
Bei Ssd storage zipo faster. Kuanzia kufungua applications, ku washa laptop na ku transfer files. Ukiwa HDD na una applications nyingi kwenye laptop mara nyingi kuanzia unapoona logo ya windows mpk unafika desktop ni kma dkk 1 hadi 5 hvi mpka icon zote zitokee kwenye taskbar. Ila ukiwa na SSD ukiona windows logo mpk kufika kwenye desktop ni 10 seconds mpk 30 seconds ikizid sana dkk 1. Na hapo ukifika kwenye desktop tu unaweza tayari kufungua apps zako ukaendelea kazi bila kusubiri vitu vyote vi load.

SSD ni investment nzuri sana. Inaweza ikafanya laptop ya 3rd gen core i3 ku feel kama laptop ya 8th gen core i5 kwenye speed ya kuload vitu. Sikuhz siwezi tumia laptop isiyo na SSD
Bei za ssd kwa tz zipoje?
 
Hivi inawezekana pc ukaiwekea ssd na hdd,afu ssd ukaitumia kwa os na hdd kwa issue zingine
Ndio kwa desktop zote unaweza, na kwa laptop unaweza almost zote ila kuna situation kadhaa.

-laptop yenye hdd mbili (zote sata)moja unaweza weka ssd na nyengine ukaweka hdd
-laptop yenye hdd moja na mlango wa cd (zote SATA) unaweza weka ssd na hdd ila itabidi uue mlango wa cd
-laptop yenye sata na m2 port unaweza weka hdd na kwenye m2 ukaweka ssd.

Laptop nyingi za kisasa miaka around 5 iliopita zina m2 port hivyo unanunua tu ssd na kuweka bila kutoa hdd yako.

Hii ndio sata ssd ipo kama hdd ya kawaida
41B7mW3cxWL._AC_SY780_.jpg


Na hii ndio m2 ssd ipo kama ram ama network card
10110070587442.jpg
 
Ndio kwa desktop zote unaweza, na kwa laptop unaweza almost zote ila kuna situation kadhaa.

-laptop yenye hdd mbili (zote sata)moja unaweza weka ssd na nyengine ukaweka hdd
-laptop yenye hdd moja na mlango wa cd (zote SATA) unaweza weka ssd na hdd ila itabidi uue mlango wa cd
-laptop yenye sata na m2 port unaweza weka hdd na kwenye m2 ukaweka ssd.

Laptop nyingi za kisasa miaka around 5 iliopita zina m2 port hivyo unanunua tu ssd na kuweka bila kutoa hdd yako.

Hii ndio sata ssd ipo kama hdd ya kawaida
41B7mW3cxWL._AC_SY780_.jpg


Na hii ndio m2 ssd ipo kama ram ama network card
10110070587442.jpg
Nashukuru Chief hapa nimekupa vizuri
 
Back
Top Bottom