Habari wakuu,
Ninataka kuuza biadhaa yangu(machine ya umwagiliaji) yenye thamani ya Tsh 3 millions.Sasa makubaliano yetu ni kwamba watanilipa pesa nusu na nyingine watamalizia kulingana na muda nitakaowapa.
Sasa naomba ushari wa procedure gani muhimu za kufata kama angalizo ili kujiepusha na chochote kibaya kinachoweza jitokeza.
Ahsante