Baba Jazey
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 500
- 556
wakuu Naomba msaada wa hii Gari(Nissan grolia) juu ya mambo yafuatayo
1. upatikanaji wa spea(vipuli)
2. ulaji wa mafuta
3. uimara wa Gari
wadau ushauri wenu ni muhimu sana kwangu. natanguliza shukran
1. upatikanaji wa spea(vipuli)
2. ulaji wa mafuta
3. uimara wa Gari
wadau ushauri wenu ni muhimu sana kwangu. natanguliza shukran