Zinaitwaje mkuuIndia
Man,..! Nambie na mimiChek inbox
Acha kutudharau mkuu. Nyumba nzuri unaita Kibanda? Hizo kejeli acha. Shukuru Mungu.Wakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.
Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania?
Nahitaji zile bora hata za China na India.
Kibanda changu kimefikia hatua ya kuweka tiles; nimepambana kwa 5yrs na imefikia hapa
Sijaingia bado ila umeme nishaweka, bado maji na tiles
View attachment 2490609
Nimekosa mimi nimekosa mimi...nisamehe mkubwa wanguAcha kutudharau mkuu. Nyumba nzuri unaita Kibanda? Hizo kejeli acha. Shukuru Mungu.
Tumeshakusamehe.Nimekosa mimi nimekosa mimi...nisamehe mkubwa wangu
Cha spain nazikubali sana kaka ila kwa sasa nilikua nafocus midrange tiles zenye ubora unaofanania kidogoJilipue na kitu cha spain utakuja kunishukuru baadae
Tiles za China zikiwa kavu hakuna kitu zinavunjika tu. Hilo tatizo hata za Tanzania zinazo. La sivyo uchukue zenye ujazo mkubwa. China unaweza kuweka chooniNimewahi sikia Kuwa zipo za kuweka kwenye Bali ya hewa ya baridi ili kuongeza Joto na zilizop Nyingine ni za kuweka kwenye Joto ili kupoza na kuleta baridi wajuzi tunaombwa ufafanuzi utofauti kama IPO n majina yake
Asante sana kwa usahuriTiles za China zikiwa kavu hakuna kitu zinavunjika tu. Hilo tatizo hata za Tanzania zinazo. La sivyo uchukue zenye ujazo mkubwa. China unaweza kuweka chooni
Wakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.
Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania?
Nahitaji zile bora hata za China na India.
Kibanda changu kimefikia hatua ya kuweka tiles; nimepambana kwa 5yrs na imefikia hapa
Sijaingia bado ila umeme nishaweka, bado maji na tiles
View attachment 2490609
Nisame mimi mkuuKumbe mabanda ndio yanakuwa hivi [emoji41]kila siku nilikuwa nasikia lkn sikuwahi kuona picha
Naomba kujua faida za mapaa kwenda hewani hata king post kuzidi kimo cha nyumba husikaWakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.
Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania?
Nahitaji zile bora hata za China na India.
Kibanda changu kimefikia hatua ya kuweka tiles; nimepambana kwa 5yrs na imefikia hapa
Sijaingia bado ila umeme nishaweka, bado maji na tiles
View attachment 2490609
Me nauza tiles..Asante sana kwa usahuri