Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Kauli za kienyeji sana hizi.Jilipue na kitu cha spain utakuja kunishukuru baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli za kienyeji sana hizi.Jilipue na kitu cha spain utakuja kunishukuru baadae
Hazina analytical thinkingKauli za kienyeji sana hizi.
Twyford bei zake zikoje kwa size tofauti tofauti?Me nauza tiles..
Kama bajeti iko vizuri chukua spain or India lkn kama unataka ambzo ni imara pia affordable chukua zinazo tengenezewa apa bongo kama Twyford..
Kama unataka maelekezo zaidi nichek kwa namba..
0623152344
Nakujibu kama nilivojibiwa na mwenye duka.Twyford bei zake zikoje kwa size tofauti tofauti?
Wana tiles nzuri sanaTaha Ceramics
Dealers Ceramic and Porcelain Tiles, Stylish Sanitary Ware from Egypt and India. Call|WhatsApp on +255 757 254 070 for more details and info.
Wapo Mbezi africana na Kariakoo. Ila showroom yao nzuri na kubwa nenda africana
https://www.instagram.com/tahaceramicstz/ Instagram page yao
Akiwa na mkwanja mrefu, yesJilipue na kitu cha spain utakuja kunishukuru baadae
Mbeya wanatoa granite na marbles....Kuna tiles zinatengenezwa na kiwanda fulani kipo Mbeya.....nimesahau jina lake
Kwa bei hiyo siyo mbaya. Kuna tiles za Goodone za kichina zinatengenezwa maeneo ya Mlandizi au Kibaha wanazo very good quality kwa unene wa mfuko wako.Wana tiles nzuri sana
Ila kama mfuko wako ni wa iman upendo na muujiza mzee utachemka. Ila kama unajiweza wahi showroom yao kkoo kuna ofa.sqm 1 sh 29850.
In box kwani ni siri au ndo mambo ya 10%Man,..! Nambie na mimi
Kwa sq m.1.kumbuka.sasa kama box ni cover 1.75 x 29850Kwa bei hiyo siyo mbaya. Kuna tiles za Goodone za kichina zinatengenezwa maeneo ya Mlandizi au Kibaha wanazo very good quality kwa unene wa mfuko wako.
Box moja linakuwa between 1.4 and 1.5 sq metersKwa sq m.1.kumbuka.sasa kama box ni cover 1.75 x 29850
Bei zao zipoje kwa tiles na sizeTaha Ceramics
Dealers Ceramic and Porcelain Tiles, Stylish Sanitary Ware from Egypt and India. Call|WhatsApp on +255 757 254 070 for more details and info.
Wapo Mbezi africana na Kariakoo. Ila showroom yao nzuri na kubwa nenda africana
https://www.instagram.com/tahaceramicstz/ Instagram page yao
TYWFORD BABA LAO, USIJIULIZE MARA 2Wakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.. Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania?
Nahitaji zile bora hata za China na India. Kibanda changu kimefikia hatua ya kuweka tiles; nimepambana kwa 5yrs na imefikia hapa. Sijaingia bado ila umeme nishaweka, bado maji na tiles.
View attachment 2490609
Kinaitwa mkuu njoo na taarifa iliyonyooks!Kuna tiles zinatengenezwa na kiwanda fulani kipo Mbeya.....nimesahau jina lake