Ushauri wa Tiles Nzuri za Tanzania/China/India

Ushauri wa Tiles Nzuri za Tanzania/China/India

Me nauza tiles..
Kama bajeti iko vizuri chukua spain or India lkn kama unataka ambzo ni imara pia affordable chukua zinazo tengenezewa apa bongo kama Twyford..
Kama unataka maelekezo zaidi nichek kwa namba..
0623152344
Twyford bei zake zikoje kwa size tofauti tofauti?
 

Taha Ceramics​

Dealers Ceramic and Porcelain Tiles, Stylish Sanitary Ware from Egypt and India. Call|WhatsApp on +255 757 254 070 for more details and info.​

Wapo Mbezi africana na Kariakoo. Ila showroom yao nzuri na kubwa nenda africana

https://www.instagram.com/tahaceramicstz/ Instagram page yao
 

Taha Ceramics​

Dealers Ceramic and Porcelain Tiles, Stylish Sanitary Ware from Egypt and India. Call|WhatsApp on +255 757 254 070 for more details and info.​

Wapo Mbezi africana na Kariakoo. Ila showroom yao nzuri na kubwa nenda africana

https://www.instagram.com/tahaceramicstz/ Instagram page yao
Wana tiles nzuri sana
Ila kama mfuko wako ni wa iman upendo na muujiza mzee utachemka. Ila kama unajiweza wahi showroom yao kkoo kuna ofa.sqm 1 sh 29850.
 
Wana tiles nzuri sana
Ila kama mfuko wako ni wa iman upendo na muujiza mzee utachemka. Ila kama unajiweza wahi showroom yao kkoo kuna ofa.sqm 1 sh 29850.
Kwa bei hiyo siyo mbaya. Kuna tiles za Goodone za kichina zinatengenezwa maeneo ya Mlandizi au Kibaha wanazo very good quality kwa unene wa mfuko wako.
 
Kwa bei hiyo siyo mbaya. Kuna tiles za Goodone za kichina zinatengenezwa maeneo ya Mlandizi au Kibaha wanazo very good quality kwa unene wa mfuko wako.
Kwa sq m.1.kumbuka.sasa kama box ni cover 1.75 x 29850
 
Wakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.. Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania?

Nahitaji zile bora hata za China na India. Kibanda changu kimefikia hatua ya kuweka tiles; nimepambana kwa 5yrs na imefikia hapa. Sijaingia bado ila umeme nishaweka, bado maji na tiles.

View attachment 2490609
TYWFORD BABA LAO, USIJIULIZE MARA 2
 
Back
Top Bottom