Pre GE2025 Ushauri wa upendo kwa Tume Huru ya Uchaguzi

Pre GE2025 Ushauri wa upendo kwa Tume Huru ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kama inavyofahamika kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu kwa ushauri wa upendo kabisa muanze kujipanga vyema na madudu yaliyojitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa yasijirudie kwenye usimamizi wenu.

Pili ni vema mkaangalie uwezekano wa kuwaajiri watumishi wenu nchini kote waigeni Tume Huru ya Kenya ambao watumishi wao siyo waajiriwa wa Serikali. Tatu epukeni kuwatumia watumishi wa Serikali katika kusimamia uchaguzi.

Kutumia watumishi wa Serikali itawaletea malalamiko mengi sana. Ushauri ni ushauri. unaweza kuukubali au kuukataa.
 
Na waupokee Ushari wako- kama wanamuogopa Mungu Bila danadana na chenga chenga
Kama inavyofahamika kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu kwa ushauri wa upendo kabisa muanze kujipanga vyema na madudu yaliyojitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa yasijirudie kwenye usimamizi wenu. Pili ni vema mkaangalie uwezekano wa kuwaajiri watumishi wenu nchini kote waigeni Tume Huru ya Kenya ambao watumishi wao siyo waajiriwa wa Serikali. Tatu epukeni kuwatumia watumishi wa Serikali katika kusimamia uchaguzi. Kutumia watumishi wa Serikali itawaletea malalamiko mengi sana. Ushauri ni ushauri. unaweza kuukubali au kuukataa.
 
..Ccm wamekosea sana kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa.

..Walishaahidi Bungeni na kwa viongozi wa dini kwamba wataendesha uchaguzi wa haki.

..Bunge na viongozi wa dini waliwaamini lakini wao wakafanya ndivyosivyo.
 
Back
Top Bottom