Uchaguzi 2020 Ushauri wa wazi kwa CHADEMA

kipoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
370
Reaction score
296
Habari wana JF, baada ya CHADEMA kupitia kipindi kigumu cha kampeni pasipo media na hivyo habari zao kutowafikia watu wengi na kwa wakati, nimekuja na ushauri ambao wakiutumia lazima kwa sehemu kubwa wafanikiwe. Wafanye yafuatayo;-

- Kuwa na channel yao YouTube ambayo itarusha mikutano yao.

- Kuwa na kituo kikuu cha habari ambacho kitahusika na kuchakata taarifa na kuzituma kupitia social networks.

- Kuajiri vijana zaidi ya 1000 ambao wao watakuwa wakieneza propaganda chafu dhidi ya CCM na kuwashawishi watu kuichagua CHADEMA kupitia social networks.

- Kutafuta magari mengi yenye vipaza sauti ili kuzunguka kwaajili ya kukusanya watu wajae kwenye mikutano yao.

Kwa ushauri huo lazima wafanikiwe kutwaa dola labda kama hawapo tayari kwa uchaguzi huu!!

Nb. Acha kupinga ushauri wangu, nawe shauri ya kwako kuwasaidia CDM.
 
Mkuu kusema kueneza propaganda chafu dhidi ya sisiemu nikukosa maarifa na nizilipendwa......WaTz siyo wajinga.

Hilo la Cdm kukosa hata Channel ya yutyubu au hata karedio,nadhani nikukosa strategist wanaochungulia yakesho
 
Mkuu kusema kueneza propaganda chafu dhidi ya sisiemu nikukosa maarifa na nizilipendwa. Watanzania siyo wajinga.

Hilo la Chadema kukosa hata Channel ya yutyubu au hata karedio,nadhani nikukosa strategist wanaochungulia yakesho
Ushauri wako sasa nini?
 
Hakuna tatizo ukifuata sheria tulizojiwekea wenyewe
Sheria zipi... Zinazokuja kwa hati ya dharula??? Tena kwa lengo mahususi kwaajili ya watu fulani pekee???
 
Mbna mikutano ya chadema inarushwa Sana , Millard ayo anaupdate kila sekunde,clouds pia naona Instagram wanawekwa Sana ,BBC nao hawako nyuma, TBC nao wangefanya hivyo tatizo waliwafukuza, ila nachooona mwamko wa kupiga kura ni mdogo Sana hasa maeneo ya mijini na hii itamfanya JPM ashinde kwa kishindo Sana aheri hata 2015 CCM ilitiwa jamba jamba ya uhakika
 

Wanarusha kidogo sana tofauti vile wangekuwa na TV yao
 
Oooh tulikuwa tukiibiwa madini na mabeberu magu kadhibiti....saivi wajifanya huelewi kabisa ee?
 
Taja sheria zinazowaibia madini, acha kulalama!! Unauelewa finyu
Oooh tulikuwa tukiibiwa madini na mabeberu magu kadhibiti....saivi wajifanya huelewi kabisa ee???
 
Oooh tulikuwa tukiibiwa madini na mabeberu magu kadhibiti....saivi wajifanya huelewi kabisa ee???
Umebadili gia angani, baada ya kukosa hoja
 
Habari wana JF, baada ya CHADEMA kupitia kipindi kigumu cha kampeni pasipo media na hivyo habari zao kutowafikia watu wengi na kwa wakati , nimekuja na ushauri ambao wakiutumia lazima kwa sehemu kubwa wafanikiwe. Wafanye yafuatayo;...
Jini anamshauri shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…