wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,455
- 4,395
Unatumia kiungo gani kufikiri we MAKOTA? Tanzania bado kuna Mahakama?Huyo jiwe angetaka kumuua huyo lisu wenu, kwanini hajampeleka mahakamani??
Anaogopa nini kuenda mahakamani kufungua mashitaka kama haikua kiki ili ili impe promo ya kisiasa
Aende kuripoti kwanza mahakamaniiiii
Kwahiyo zile ambazo lisu alifungua kesi kupinga kuvuliwa ubunge wake kumbe zilikua ni kanisa?Unatumia kiungo gani kufikiri we MAKOTA? Tanzania bado kuna Mahakama?
Hizo channel tu mpaka kuzipata no Kama unaomba kibali Cha kuuza mihadarati,hasa iwe sii kwa upande pendwa .Achilia gharama.Tatizo tisiaraei jamaangu...hawawezi kuwa fea ktk hili!
Kwa pesa ipi?- Kuajiri vijana zaidi ya 1000 ambao wao watakuwa wakieneza propaganda chafu dhidi ya CCM na kuwashawishi watu kuichagua CHADEMA kupitia social networks.
Kwasasa Tanzania hatuna utawala unafuata wa kuheshimu katiba, tuna UTAWALA WA MKONO WA CHUMA. Uthibitisho ni namna Mahakama na Bunge zilivyowekwa mfukoni na huyu DIKTETA UCHWARA.Kwahiyo zile ambazo lisu alifungua kesi kupinga kuvuliwa ubunge wake kumbe zilikua ni kanisa?
Acha matusiiii, jamaa yenu si anajidai anajua sheria, yaaani afanyiwe kitendo kibaya namna ile awe hajaripoti at a mahakama ya kijiji, na vile anavyopenda kiki ya ujuaji?
Like igizo lilishabuma mzeee waaanguuu.
Nimewatoa kwenye point za uhakika dhidi ya propaganda zenu, kwasasa mumekimbilia matusi sawaa tuuuuuKwasasa Tanzania hatuna utawala unafuata wa kuheshimu katiba, tuna UTAWALA WA MKONO WA CHUMA. Uthibitisho ni namna Mahakama na Bunge zilivyowekwa mfukoni na huyu DIKTETA UCHWARA.
Nani anayeongoza Serikali hii we mpuuzi? Majukumu yao ni kuiba tu na kufanya starehe?Nimewatoa kwenye point za uhakika dhidi ya propaganda zenu, kwasasa mumekimbilia matusi sawaa tuuuuu
Tukaneni muwezavyooo.