chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Kaa fikiria tena vema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa bunge hili Mkuu lazima wampitishe kijani mwenzaoKutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.
Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.
Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
Sio kwa bunge hili Mkuu lazima wampitishe kijani mwenzao
Sasa mleta mada anamaanisha spika asie na chama ndio apigiwe kura ndo maana nikamuuliza hiyo katiba inasema hivo???spika asie na chama???rejea uzi wake hapo juu soma vizuri utamuelewa
Katiba inaruhusu?Kutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.
Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.
Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
Siyo lazima upendekezwe na chama. Upo utaratibu wa mtu kugombea kiti cha Spika hata kama si mwanachama wa chama chochote na wala haitahitajika kudhaminiwa na chama ili mradi tu anazo sifa za kuwa mbunge ambazo zipo katika katiba ibara ya 67(1) isipokuwa (b)
Lakini hiyo katiba haijawahi fuatwa tangu tupate uhuruNdiyo Mtanzania yoyote mwenye sifa ya kuwa Mbunge (umri, uraia, elimu) anaruhusiwa kugombea Uspika bila Chama na Wabunge wote (hata wa CCM) watamchagia
Kifungu chakl 84(1) kimalizie panaposema au mwenye sifa za kuwa Mbunge
Kifungu 84(9)
Mtu yeyote ambaye sii Mbunge atakayechaguliwa kuwa Spika atatakiwa kabla ya kuanzja kutekeleza ataapisha katika Bunge kiapo Cha uaminufu (maana yangu NI kabla ya Cha Uspika
fomu zinapatikana kwa Katibu Bunge hata CCM watapewa / kununua tafsiri yangu) ninayo majina ya wagombea binafsi waliopambana na Maspika
CCM kwa sasa ni laana kwa nchi. Ipo zaidi kwaajili ya uharibifu kuliko mema.CCM itaweka mapandikizi tupu kama ilivyo mahakamani, tume ya uchaguzi na polisi
Kumbukeni Bunge letu limejaa wabunge wa hovyo wasiojali maslahi ya nchi, wao ni CCM tuKutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.
Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.
Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
Wampe Wilbroad SlaaKutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.
Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.
Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
Ni vigumu kumpata spika asiyetokana na chama! hii ni kwa sababu mgombea nafasi ya u-spika ni lazima awe na sifa za kumwezesha kuwamgombea ubunge! ambapo mojawapo ya sifa hizo ni lazima atokane na chama cha siasa, ila kwa kutofuata katiba wala mifumo rasmi hiyo itawezekana!! Nakumbuka kuwahi kuwepo nafasi ya Naibu Waziri Mkuu kama sijakosea!!!Ni ile nafasi ya mzee wa TLPKutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.
Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.
Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
Hiyo (b) ina maana haipewi umuhimu? Binafsi bado nasimamia lazima atokane na chama cha siasa, rejea pia katiba pendekezwa 125(1)cSiyo lazima upendekezwe na chama. Upo utaratibu wa mtu kugombea kiti cha Spika hata kama si mwanachama wa chama chochote na wala haitahitajika kudhaminiwa na chama ili mradi tu anazo sifa za kuwa mbunge ambazo zipo katika katiba ibara ya 67(1) isipokuwa (b)
Sifa mojawapo ya Spika ni kuwa na sifa za kuwa mbunge. Sifa za kuwa mbunge ni kuwa mwanachama wa chama cha siasa na ni mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa kama Katiba ilivyoainishwa hapa chini:Katiba inasema hivyo ndugu.
Ibara ya 84 (1)
Kutakuwa na Spika wa bunge ambaye atachaguliwa na wabunge kutoka miongoni mwa watu ambao ni wabunge au mwenye sifa za kuwa mbunge; atakuwa ndiye kiongozi wa bunge na atawakilisha bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya bunge.
Jamaa ni waharibifu snCCM kwa sasa ni laana kwa nchi. Ipo zaidi kwaajili ya uharibifu kuliko mema.
CCM ndiyo kikwazo kikubwa kwa mifumo bora uongozi nchini. Bila ya CCM kuondoka madarakani, kamwe nchi hii hatutakuja kuwa na mifumo bora ya kiutawala. Hakuna mahali CCM inafanya kwa dhamira njema zaidi ya kuhakijisha inabakia madarakani kwa njia zozote zile hata kama ni za kishetani.
Inaangilia mifumo ya kimahakama, bungeni, jeshini, polisi, TISS, ofisi ya CCG, DPP - kila mahali inachafua.