mbota
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 1,054
- 585
Salaam wapendwa.
Wafanyabiashara wa Tanzania nina ushauri kwenu baada ya kusikia malalamiko mengi kuhusiana na maswala ya mikopo, au huduma zitolewazo. Kwanza ninaamini wafanya biashara ndio wanaosaidia sana mzunguko wa fedha katika eneo fulani. Pili wafanyabiashara ndio wanao chukua mikopo mikubwa kulinganisha mfano wafanyakazi
Hivyo ninaa mini kwamba wafanya biashara wakiamua kuanzisha Bank yao inawezekana kwa maana wafanya biashara ni wengi na wengi wao wana mitaji ya kutosha kikubwa ni usimamizi mathubuti.
Faida ya kuwa na Bank ya wafanya biashara ni kwamba wafanyabiashara watapata huduma kwa wakati na si kama ilivyo sasa.
Kama Walimu waliweza naamini Wafanyabiashara pia wanaweza.
Wafanyabiashara wa Tanzania nina ushauri kwenu baada ya kusikia malalamiko mengi kuhusiana na maswala ya mikopo, au huduma zitolewazo. Kwanza ninaamini wafanya biashara ndio wanaosaidia sana mzunguko wa fedha katika eneo fulani. Pili wafanyabiashara ndio wanao chukua mikopo mikubwa kulinganisha mfano wafanyakazi
Hivyo ninaa mini kwamba wafanya biashara wakiamua kuanzisha Bank yao inawezekana kwa maana wafanya biashara ni wengi na wengi wao wana mitaji ya kutosha kikubwa ni usimamizi mathubuti.
Faida ya kuwa na Bank ya wafanya biashara ni kwamba wafanyabiashara watapata huduma kwa wakati na si kama ilivyo sasa.
Kama Walimu waliweza naamini Wafanyabiashara pia wanaweza.