Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Wakuu naomba ushauri wenu,
Kwasasa nipo Singida na kuna mahindi mengi sana huku debe hadi sh 4000.
Binafsi nina mtaji wa kama milioni 6 hivi na ninataka kuifanya biashara hii, Tatizo langu ni namna soko lake lilivyo Dar maana nataka kuyanunua niyalete Dar.
Kwa wenye ujuzi na hili soko lake likoje maana inaonekana watu wengi wanapata shida wanapokuja na biashara kuuza Dar ama kwa kutapeliwa na madalali au kubamizwa bei.
Naomba mawazo yenu.
Kwasasa nipo Singida na kuna mahindi mengi sana huku debe hadi sh 4000.
Binafsi nina mtaji wa kama milioni 6 hivi na ninataka kuifanya biashara hii, Tatizo langu ni namna soko lake lilivyo Dar maana nataka kuyanunua niyalete Dar.
Kwa wenye ujuzi na hili soko lake likoje maana inaonekana watu wengi wanapata shida wanapokuja na biashara kuuza Dar ama kwa kutapeliwa na madalali au kubamizwa bei.
Naomba mawazo yenu.