Ushauri wako muhm Kurudi na Vifaa vya maabara

Ushauri wako muhm Kurudi na Vifaa vya maabara

chox05

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
230
Reaction score
93
M mwanafunzi nasoma njee ya nchi sehemu nilipo Vifaa vya hospital bei rahisi na kwa makampuni niliyoyafatilia yote yapo iso certified nimebakisha mwaka na nusu katka masomo yangu,kwa mda uliobaki nlikuwa nataka nitume Vifaa kama microscope ,incubator,centrifuge corolimeter kwa ajili ya kuanzsha private clinical lab,je kunamashariti gani kuingiza vitu hvyo?na masharti ya kuanzsha Maabara ,
 
Mkuu imekua mda sana VP ulifanikiwa hii ishu yako?
M mwanafunzi nasoma njee ya nchi sehemu nilipo Vifaa vya hospital bei rahisi na kwa makampuni niliyoyafatilia yote yapo iso certified nimebakisha mwaka na nusu katka masomo yangu,kwa mda uliobaki nlikuwa nataka nitume Vifaa kama microscope ,incubator,centrifuge corolimeter kwa ajili ya kuanzsha private clinical lab,je kunamashariti gani kuingiza vitu hvyo?na masharti ya kuanzsha Maabara ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom