juniour12
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 407
- 375
Naombeni ushauri juu ya pump gani nzuri yenye ubora ya kuvuta/kunyonya maji mtooni kwa ajili ya kumwagilia shambani.Size iwe inch 3
Naombeni pia mnijuze ni ipi bora kati ya ile inayo tumia disel na ile ya petrol then maduka ambayo naweza zipata na bei zake.Natanguliza shukrani zangu kwa JF GTs
Naombeni pia mnijuze ni ipi bora kati ya ile inayo tumia disel na ile ya petrol then maduka ambayo naweza zipata na bei zake.Natanguliza shukrani zangu kwa JF GTs