Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 461
Kama nilivyoanza hapo juu. Wilayani kwetu kuna mahitaji makubwa ya gari la maji taka na kwa muda mrefu tumetumia gari la Halmashuri ku- discharge maji taka kutoka katika vyoo vyetu hapa wilayani.
Gari la halmashauri halitoshi kutokana na urasimu uliopo kulipata na hatimaye utiririshaji wa maji hayo machafu hasa wakati wa usiku umekua kwa kasi sana. Nimewasiliana na wadau mbalimbali na tumekubaliana tununue gari la maji machafu walau lenye uwezo wa "kunyonya" lita elfu saba hivi za maji machafu kwa mara moja.
Nakuja kwenu kuomba ushauri wa gari lipi linafaa- specifications kwa maana hiyo na bei zake. Shukrani mbele.
Gari la halmashauri halitoshi kutokana na urasimu uliopo kulipata na hatimaye utiririshaji wa maji hayo machafu hasa wakati wa usiku umekua kwa kasi sana. Nimewasiliana na wadau mbalimbali na tumekubaliana tununue gari la maji machafu walau lenye uwezo wa "kunyonya" lita elfu saba hivi za maji machafu kwa mara moja.
Nakuja kwenu kuomba ushauri wa gari lipi linafaa- specifications kwa maana hiyo na bei zake. Shukrani mbele.