Kwani mwanaume akizimia inakuaje hzo ni ajali tu na yaweza mtokea hata mwanaume
anzeni nyie kutembea na kanga
upuuuzi tu huo
::: Cardio-Pulmonary U-rescusitation (CPU) :::
Mkuu naona umepiga kona halafu kabla haijaguswa na mtu ukawahi kufunga mwenyewe
Hivi smile kuna mahali mwanamke amebebeshwa lawama hapa? Nijuavyo mimi imeletwa kama ushauri, na ushauri huwa unatolewa bure kuukubali au kuukataa ni haki yako ya msingi....ila pia sio lazima utoe lugha chafu, kama wewe huoni umuhimu wa kubeba kanga au mtandio kwenye handbag yako ni sawa na ungeweza kutufundisha na sie washamba tunaobeba mbadala wake ni nini. Jf ni mahali pa kufundishana na kujifunza hivyo mie binafsi ningefurahi kusikia mwenzetu una mbadala gani..
Thank you CPU...... Be blessed.I like and love this comment!
Mko mbali kabisaaaaaaaaaa na maana ya mtoa mada. Yaani mmeelewa kama vile kasema "kutembea na khanga ndio njia pekee ya kujikinga na janga kama hilo". Too low understanding!!
Kaielezea khanga kama mojawapo ya njia ambayo ingesaidia, kati ya njia nyingi ambazo zingeweza kutumika. Ndio maana ktk mkasa huo walimuomba khanga mwanamke mwingine ili kumsitiri mwenzao. So its an advice. You can follow it or not.
Tumshukuru ameokoa maisha ya mwenzetu, hasa mwanamke na pia kasaidia kufanikisha kumsitiri mwili wake.
Kwani mwanaume akizimia inakuaje hzo ni ajali tu na yaweza mtokea hata mwanaume
anzeni nyie kutembea na kanga
upuuuzi tu huo
daah mada iko staight forward lakini imefanywa kama sayansi ya kurusha roketi angani...
Ngoja nilale labda kwanza
ni kweli mada ipo straight mleta mada issue ni kwamba kuna watu hawajui kujenga hoja zao kwenye kuchangia wanapenda malumbanoSayansi nimeitumbukiza kidogo tu na nimeirahisisha kwa kiwango kikubwa ili ieleweke na wote kwa madhumuni ya kuleta mtiririko mzuri wa tukio bila kupoteza maudhui.
Hongera sana mkuu. Tunategemea great thinkers wote wawe na moyo kama wa kwako. Vp wakati wa CPR, ulikula denda?
Kwani mwanaume akizimia inakuaje hzo ni ajali tu na yaweza mtokea hata mwanaume
anzeni nyie kutembea na kanga
upuuuzi tu huo
Usiku mwema bht. Hakikisha unaniota.daah mada iko staight forward lakini imefanywa kama sayansi ya kurusha roketi angani...
Ngoja nilale labda kwanza
mkuu mimi siwezi kujitafutia umaarufu jf ror what? Nadhani kwa commet yako hii wewe ndo unaonekana mjinga zaidi
kama ni lazima mwanamke atembe na kanga ingekuwa imewekwa iyo sheria kwenye huduma ya kwanza
mimi kwangu sioni kama ni muhimu wala sitokaa nione ni muhimu kamwe,kuna njia nyingi za kukabiliana na majanga mkuu.sio kila lawama mnambebesha mwanamke khaaaaaaaaaa
jifunze kujenga hoja bila kumkashifu mtu personally ?pingana na mimi kwa pointino hard feelings babe, just keep your smile broader.
Vipochi vyenyewe hivi vipima joto, khanga itakaa wapi, na wanja je, na lipshine?
Anyway, Hongera sana kwa kuokoa maisha ya mdada... ungeandika note ukampa umwambie ajiunge JF huku angejifunza mambo mengi, including ushauri wako. Ubarikiwe