Kwani mwanaume akizimia inakuaje hzo ni ajali tu na yaweza mtokea hata mwanaume
anzeni nyie kutembea na kanga
upuuuzi tu huo
mwenzio anamaanisha nature ya mavazi ya kina dada.amboyo karibia yote kutoa surali yana acha mapaja wazi.hivyo ukikosa fahamu uwezi kujistiri kwa kubana na hapoo ndo khanga inahitajika we vipi?