Ushauri wangu kuhusu Mtanzania aliyetekwa Nigeria

Ushauri wangu kuhusu Mtanzania aliyetekwa Nigeria

smarte_r

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
4,564
Reaction score
12,014
Wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

Nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. Kwanini sita au saba? NI kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

Sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

Mossad, CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. Mossad walipiga tukio kubwa sana pale Uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: Mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

Ni ushauri tu.

20230808_225525.jpg
images.jpeg
 
Watu wanataka hela wewe unatoa ushauri tena mkuu.

Hapo dawa ni Tigopesa au Lipa namba
Nimeshauri ili hiyo hela iende ikajenge madarasa na miradi mingine ya kijamii.

Sasa wale jamaa zetu pale ngerengere kazi yao nini kama tunashindwa kuwatumia kwenye mission kama hizi?.

Taifa linaingia gharama kubwa kuwandaa halafu mwisho wa siku wanaishia kugombania mademu na raia kwenye vilabu vya pombe.
 
nimeshauri ili hiyo hela iende ikajenge madarasa na miradi mingine ya kijamii.

sasa wale jamaa zetu pale ngerengere kazi yao nini kama tunashindwa kuwatumia kwenye mission kama hizi?.

taifa linaingia gharama kubwa kuwandaa halafu mwisho wa siku wanaishia kupiga raia kwenye vilabu vya pombe.
"Nothing can take the place of money in an area where money works" Andrew Carnegie (mentor wa Napoleon Hill)
 
NB: mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.
 
NB: mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.
imeisha hiyo...[emoji846]
 
wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya

ni ushauri tu.
Mmh sdhani kama operation za kijeshi za nchi nyingine zinaruhusiwa kwenye nchi nyingine
 
Kwa silaha gani walizonazo za SOF (Special Operations Force) kwa rescue mission ya thousands of kilometres from homeland. Waende uko kwenye unfamiliar terrain bila kuwa na reconn, intelligence wala uelewa na eneo si hao wenyewe utawapoteza.
Huwa nakuelewa sana kiongozi ktk nyanja hii.

Naomba utoe maoni na mapendekezo ya njia ipi inafaa kutumiwa ili kumuokoa mhusika.
 
Kwa silaha gani walizonazo za SOF (Special Operations Force) kwa rescue mission ya thousands of kilometres from homeland. Waende uko kwenye unfamiliar terrain bila kuwa na reconn, intelligence wala uelewa na eneo si hao wenyewe utawapoteza.
Rescue mission hazihitaji silaha nzitonzito za kuzisafirisha kwa madege ya vita au malori. silaha kubwa ni uwezo wa kukusanya taarifa.

Nani waliomteka,agenda yao ni nini(siasa, dini,fedha),uwezo wao upoje,location ya hostage na kadhalika.
 
Usidanganyike ni ile mitofali ya kichwa na ile mibegi mikubwa mgongoni.

Wale ni sawa na wacheza video game michezo ya kupigana. Unaweza ukajikuta master ila mchezo wa kweli unatembezewa kichapo kama mtoto.

Kuna komando alichezea kichapo banana kama mwari toka kwa muendesha bodaboda baada ya kuleta ubabe wa kiboya.

Wakipelekwa huko waandae na pesa za kuwakombolea maana nao watawekwa mateka.
 
wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. kwanini sita au saba?, ni kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

mossad,CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. mossad walipiga tukio kubwa sana pale uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

ni ushauri tu.
Wakati wanajiandaa kwenda, tuweke matanga wakiwepo kabisa
 
wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. kwanini sita au saba?, ni kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

mossad,CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. mossad walipiga tukio kubwa sana pale uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

ni ushauri tu.
Tukitoka hapo jwtz wakifanikiwa tuwapeleke kwenye mahakama za kimataifa zinazo wachemsha BOGO CCM na wakina Prof Mruma..... Ndani tuliwahi watumia kwenye udhulumuji wa korosho Kusini walifanikiwa Nasemaje walifanikiwa kwa % zote zilizopo Duniani
 
Back
Top Bottom