Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
Habari. Chukua hatua, jikinge na maambukizi.
Baadhi ya Maswali Magumu:
1. Mitihani ya kitaifa itafanyika lini?
2. Wa kujiunga na kidato cha tano wajiunge lini?
3. Wa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu itakuwaje?
ongezea hapo maswali mengineyo.
Ufumbuzi:
1. Computerized educational measurements. NECTA wahamie kidigitali. Wawe wanatoa mitihani kidigitali, zaidi ya mara moja kwa mwaka.
2. Mamlaka husika zisajili shule ambazo ni 100% online.
3. Bodi ya mikopo itoe mikopo hasa (hata) kwa wanafunzi wasomao 100% online Chuo Kikuu huria au vyuo vingine, iwapo hilo bado halifanyiki.
4. Muhimu kuliko yote: Utoaji elimu na upimaji wa elimu unaotolewa uwe ni asynchronous, demand-driven, nyumbufu, not one-size-fits-all.
Baadhi ya Maswali Magumu:
1. Mitihani ya kitaifa itafanyika lini?
2. Wa kujiunga na kidato cha tano wajiunge lini?
3. Wa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu itakuwaje?
ongezea hapo maswali mengineyo.
Ufumbuzi:
1. Computerized educational measurements. NECTA wahamie kidigitali. Wawe wanatoa mitihani kidigitali, zaidi ya mara moja kwa mwaka.
2. Mamlaka husika zisajili shule ambazo ni 100% online.
3. Bodi ya mikopo itoe mikopo hasa (hata) kwa wanafunzi wasomao 100% online Chuo Kikuu huria au vyuo vingine, iwapo hilo bado halifanyiki.
4. Muhimu kuliko yote: Utoaji elimu na upimaji wa elimu unaotolewa uwe ni asynchronous, demand-driven, nyumbufu, not one-size-fits-all.