Ushauri wangu kwa CHADEMA kuelekea uchaguzi

Ushauri wangu kwa CHADEMA kuelekea uchaguzi

mnunity

Member
Joined
Jun 16, 2024
Posts
8
Reaction score
7
Ushauri wangu kwa CHADEMA hamna anayefaa kuwa mwenyekiti wa chama hicho kati ya hao wawili kwa sababu zifuatazo ambazo zote zinanufaisha chama cha dolla

1.)Mmoja ni mropokaji hajui eneo lake kwa kiswahili kizuri anatumwa na hisia na sio rational atakiingiza chama kwenye chaos na kitakuwa hakina makali ya kusumbua dolla

2.Huyu mwingine akichukua tena kwa mara nyingine uongozi kwa lengo la kusema bado anataka kukijenga chama aibu yake wakati wa kufukuzwa ni kubwa na yeye atakigawa chama katikati na ni rahisi kwa upande wa tatu kusema hichi chama cha CHADEMA ni cha mtu na kinamshibisha pekee yake kwaiyo ni rahisi kuvunjika

Kwa ushauri CHADEMA (M4c) watafute mgombea mwingine nje ya mzunguko na hao wawil wabaki kama washauri wa experience kwa mwenyekiti mpya na waelewe kabisa saiv nchi ina wanafiki wengi ni ngumu kumpata mwenye intention ya kwel ambae atakivusha CHADEMA kuelekea kwenye chama cha siasa kinachoweza kujenga nchi
 
Ushauri wangu kwa CHADEMA hamna anayefaa kuwa mwenyekiti wa chama hicho kati ya hao wawili kwa sababu zifuatazo ambazo zote zinanufaisha chama cha dolla

1.)Mmoja ni mropokaji hajui eneo lake kwa kiswahili kizuri anatumwa na hisia na sio rational atakiingiza chama kwenye chaos na kitakuwa hakina makali ya kusumbua dolla

2.Huyu mwingine akichukua tena kwa mara nyingine uongozi kwa lengo la kusema bado anataka kukijenga chama aibu yake wakati wa kufukuzwa ni kubwa na yeye atakigawa chama katikati na ni rahisi kwa upande wa tatu kusema hichi chama cha CHADEMA ni cha mtu na kinamshibisha pekee yake kwaiyo ni rahisi kuvunjika

Kwa ushauri CHADEMA (M4c) watafute mgombea mwingine nje ya mzunguko na hao wawil wabaki kama washauri wa experience kwa mwenyekiti mpya na waelewe kabisa saiv nchi ina wanafiki wengi ni ngumu kumpata mwenye intention ya kwel ambae atakivusha CHADEMA kuelekea kwenye chama cha siasa kinachoweza kujenga nchi
Too late, huyo unae muita mropokaji so far ndio alitaja sera zake , nini atakifanyia chama. Huyo namba mbili anakumbushia fadhila ( unfather mwingi)
Well umechelewa, huu ushauri hauko relevant kwa sasa
 
Too late, huyo unae muita mropokaji so far ndio alitaja sera zake , nini atakifanyia chama. Huyo namba mbili anakumbushia fadhila ( unfather mwingi)
Well umechelewa, huu ushauri hauko relevant kwa sasa
Kwanza wanachama wengi Gen Z ambao wengi elimu iko kichwani.. Kama kichwa pakacha jisahau tu... 😁 😁
 
CHADEMA imefanikiwa kwa kiwango cha juu kuziteka media zote
 
ni ushauri kama mtanzania ninayeona haina haja ya vyama vya upande wa pili kuwa vyama pinzani na sio vyama vya siasa kama kuna kuhitaji kujenga wakubali kukaa upya na wawarudishe wale wanaowaita covid 19 alf waangalie yupi atafaa kuwekwa tena mwamamke ili waone kuwa sio rahisi kuongoza nchi
 
Back
Top Bottom