Ushauri wangu kwa CHADEMA na wataka mageuzi bado unasimama - civil disobedience na passive resistance

Ushauri wangu kwa CHADEMA na wataka mageuzi bado unasimama - civil disobedience na passive resistance

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Well, well, well…..kama nilivyotarajia, maandamano ya jana yalibuma.

Hakukuwa na jipya. Kujua kwamba maandamano yangebuma ilikuwa ni sawa na kutabiri kuwa wiki ijayo, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili, jua litachomoza walau mara moja kama si zaidi.

Watanzania sisi ni watu waoga sana. Si ajabu ndo maana hata kwenye kupata uhuru hatukumwaga damu.

Tungekuwa tayari kumwaga damu, nadhani tungeweza kupata uhuru kabla ya mwaka 1961.

Mapema mwaka huu nilianzisha mada ya ushauri kuhusu njia za kutumia kushinikiza mabadiliko.

Nilishauri kuwa kuwepo na njia mbadala ya maandamano.

Nilipendekeza civil disobedience na passive resistance.

Kwa kutumia njia hizo, hakutakuwa na hofu ya kupigwa virungu wala kumwagiwa upupu.

Nchi nzima watu wakigoma hata kwa siku mbili tu Rais Samia ni lazima atashika adabu yake.

Rais Samia, CCM, polisi, na wale makomandoo wa JW hawawezi kufanya chochote peke yao bila sisi.

Kwenye maandamano watawatisha na yale magwanda yao na vile virungu vyao.

Kwenye migomo hawana uwezo wa kutembea nyumba hadi nyumba na kuwalazimisha watu waende kazini na hawawezi wakafukuza wafanyakazi wote.
 
Well, well, well…..kama nilivyotarajia, maandamano ya jana yalibuma.

Hakukuwa na jipya. Kujua kwamba maandamano yangebuma ilikuwa ni sawa na kutabiri kuwa wiki ijayo, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili, jua litachomoza walau mara moja kama si zaidi.

Watanzania sisi ni watu waoga sana. Si ajabu ndo maana hata kwenye kupata uhuru hatukumwaga damu.

Tungekuwa tayari kumwaga damu, nadhani tungeweza kupata uhuru kabla ya mwaka 1961.

Mapema mwaka huu nilianzisha mada ya ushauri kuhusu njia za kutumia kushinikiza mabadiliko.

Nilishauri kuwa kuwepo na njia mbadala ya maandamano.

Nilipendekeza civil disobedience na passive resistance.

Kwa kutumia njia hizo, hakutakuwa na hofu ya kupigwa virungu wala kumwagiwa upupu.

Nchi nzima watu wakigoma hata kwa siku mbili tu Rais Samia ni lazima atashika adabu yake.

Rais Samia, CCM, polisi, na wale makomandoo wa JW hawawezi kufanya chochote peke yao bila sisi.

Kwenye maandamano watawatisha na yale magwanda yao na vile virungu vyao.

Kwenye migomo hawana uwezo wa kutembea nyumba hadi nyumba na kuwalazimisha watu waende kazini na hawawezi wakafukuza wafanyakazi wote.

saa itafika
 
Kuna vitu sio vya lazima lakini vinaleta mapato makubwa kwa serikali, hivi tukigoma kunywa pombe mwezi mzima tutakufa, hatutakufa Ila serikali itapoteza mapato makubwa, Kugoma kununua sigara, kupunguza matumizi ya vocha Kama ulizoea kujiunga kifurushi cha 5000 kwa wiki nunua cha 3000 sababu mawasiliano muhimu.
Susia mechi za Simba na yanga mapato ya hivi vilabu yatapungua na uchawa wa vilabu utaisha.
Hizi mbinu zilitumiwa wakati wa ukoloni na zikafanya kazi.
 
Ni kweli serikali haiwezi kufurusha wafanyakazi wote, ila tu usiombe uwe katika wale wenye bahati.... utapigiwa mfano wa kuigwa.
 
Well, well, well…..kama nilivyotarajia, maandamano ya jana yalibuma.

Hakukuwa na jipya. Kujua kwamba maandamano yangebuma ilikuwa ni sawa na kutabiri kuwa wiki ijayo, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili, jua litachomoza walau mara moja kama si zaidi.

Watanzania sisi ni watu waoga sana. Si ajabu ndo maana hata kwenye kupata uhuru hatukumwaga damu.

Tungekuwa tayari kumwaga damu, nadhani tungeweza kupata uhuru kabla ya mwaka 1961.

Mapema mwaka huu nilianzisha mada ya ushauri kuhusu njia za kutumia kushinikiza mabadiliko.

Nilishauri kuwa kuwepo na njia mbadala ya maandamano.

Nilipendekeza civil disobedience na passive resistance.

Kwa kutumia njia hizo, hakutakuwa na hofu ya kupigwa virungu wala kumwagiwa upupu.

Nchi nzima watu wakigoma hata kwa siku mbili tu Rais Samia ni lazima atashika adabu yake.

Rais Samia, CCM, polisi, na wale makomandoo wa JW hawawezi kufanya chochote peke yao bila sisi.

Kwenye maandamano watawatisha na yale magwanda yao na vile virungu vyao.

Kwenye migomo hawana uwezo wa kutembea nyumba hadi nyumba na kuwalazimisha watu waende kazini na hawawezi wakafukuza wafanyakazi wote.

Hakuna maandamano yaliyofanikiwa ya kuwahusisha wanasiasa
Maandamano mwenywe mwananchi na wananchi wenyewe bado hawajaamua
 
  • Thanks
Reactions: I M
Nilipendekeza civil disobedience na passive resistance.

Tatizo la hii mbinu kiutendaji hakuna common ground ya kuwakutanisha na kuwaunganisha watu. Lina wezekana kama kukiwa na common ground ambayo kila mtu anakubaliana nayo bila kujali chama chake cha siasa.

Wakifanya CHADEMA itakua sherehe kwa CCM.

Suala la katiba lilikua ni suala la kuwakutanisha wananchi wote kwa sababu ilikua kwa faida kwa kila mtanzania pamoja na CCM, lakini halikufanikiwa.
 
Well, well, well…..kama nilivyotarajia, maandamano ya jana yalibuma.

Hakukuwa na jipya. Kujua kwamba maandamano yangebuma ilikuwa ni sawa na kutabiri kuwa wiki ijayo, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili, jua litachomoza walau mara moja kama si zaidi.

Watanzania sisi ni watu waoga sana. Si ajabu ndo maana hata kwenye kupata uhuru hatukumwaga damu.

Tungekuwa tayari kumwaga damu, nadhani tungeweza kupata uhuru kabla ya mwaka 1961.

Mapema mwaka huu nilianzisha mada ya ushauri kuhusu njia za kutumia kushinikiza mabadiliko.

Nilishauri kuwa kuwepo na njia mbadala ya maandamano.

Nilipendekeza civil disobedience na passive resistance.

Kwa kutumia njia hizo, hakutakuwa na hofu ya kupigwa virungu wala kumwagiwa upupu.

Nchi nzima watu wakigoma hata kwa siku mbili tu Rais Samia ni lazima atashika adabu yake.

Rais Samia, CCM, polisi, na wale makomandoo wa JW hawawezi kufanya chochote peke yao bila sisi.

Kwenye maandamano watawatisha na yale magwanda yao na vile virungu vyao.

Kwenye migomo hawana uwezo wa kutembea nyumba hadi nyumba na kuwalazimisha watu waende kazini na hawawezi wakafukuza wafanyakazi wote.

Nadhharia ni nyingi sana mtandaon lakini uhalisia ni kwamba ground watu bado wana imani na CCM na hawataki utapeli wa wapinzani.

Si walikuwa kwenye maridhiano wanarudi kwetu kutafuta nin?
 
Tatizo la hii mbinu kiutendaji hakuna common ground ya kuwakutanisha na kuwaunganisha watu. Lina wezekana kama kukiwa na common ground ambayo kila mtu anakubaliana nayo bila kujali chama chake cha siasa.

Wakifanya CHADEMA itakua sherehe kwa CCM.

Suala la katiba lilikua ni suala la kuwakutanisha wananchi wote kwa sababu ilikua kwa faida kwa kila mtanzania pamoja na CCM, lakini halikufanikiwa.
Maandamano ndo yana common ground?
 
Back
Top Bottom