Kwenye utawala wa Kiroma, kusulubiwa ilikuwa ni adhabu ya wahalifu wakubwa.Je alimwigiza kwa dhihaka ama?
Vizuri kabisa, tatizo kuna watu humu na issue zao are very complicated, wamekomaa kukosoa mara dini sijui imefanyaje wakati hawajaishika hiyo dini ni wanafiki, malaya, wachawi tu, pili omundi hajakashifu chochoteHakuna alichokosea
Wakati Yesu anasurubiwa ,alisitundikwa na wezi wawili mmoja alie samehewa na mmoja ambaye hakusehewa dhambi zake
Its obviously kuwa Eric alikuwa ana refer kwa yule alie tubu pale msalaban mbele ya Yesu
mbona sioni dhihaka hapa?
Nisimame kwenye mitazano kwamba hatuwezi kufanana fikra, lazima tutofautiane na tuone mambo katika mitazamo tofautiKwenye utawala wa Kiroma, kusulubiwa ilikuwa ni adhabu ya wahalifu wakubwa.
Sasa huwezi kusema Omondi amemdhihaki Yesu wakati maelfu waliwahi kusulubiwa.
Kwanini useme Omondi amemdhihaki Yesu na siyo wale wezi wawili wa pembeni?
Mimi nilikua namshabikia ila alipo toa how tob magufuli hai kunichekesha nikajua labda kateleza tu ikaja how to be dmnd nikajua hakujipanga sasa hii ya kukaa msalabani ndio hajateleza ila amekera kabisa hasa pale alipo weka bango eti mwizi? kha .....
Reply yenye viashiria vya chuki ndani yakeVizuri kabisa, tatizo kuna watu humu na issue zao are very complicated, wamekomaa kukosoa mara dini sijui imefanyaje wakati hawajaishika hiyo dini ni wanafiki, malaya, wachawi tu, pili omundi hajakashifu chochote
Ajabu mchawi kutetea dini.. Alafu hawa Mshana ni wachawi wakubwa kule upareni mpaka ukoo wao umetengwaVizuri kabisa, tatizo kuna watu humu na issue zao are very complicated, wamekomaa kukosoa mara dini sijui imefanyaje wakati hawajaishika hiyo dini ni wanafiki, malaya, wachawi tu, pili omundi hajakashifu chochote
Ajabu mchawi kutetea dini.. Alafu hawa Mshana ni wachawi wakubwa kule upareni mpaka ukoo wao umetengwa
Nisimame kwenye mitazano kwamba hatuwezi kufanana fikra, lazima tutofautiane na tuone mambo katika mitazamo tofauti
Unafahamu kitu kinaitwa imani? Hii kama si imani yako ni vema ukakaa kimya, ni kwa kupitia vitu vidogo sana vya kiimani watu walifanya vikasababisha mauaji ya kutisha vilema na uharibifu wa MaliMnajifanya wajuaji kweli humu hebu ambaye amemshuhudia Huyo yesu anasulubiwa aseme hapa! Kama zote sio maigizo tu kuanzia picha hadi video na sanamu au wakuwa hakuna team omondi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Eric kashakuw mkuda, mpumbavu sana huyu.. iweje afanye picha kama hii.. ku.manyoko huyu.!!
Mshenzi huyu, anafaa kupigwa shaba huyu.. chizi kweli, alafu anandika mwizi..!! huyo hafai kuishi, anakera sana siku hizi.. sura mbayaaaa, akili chafuuu, dead kabisa Eric siku hz..