Ushauri wangu kwa Eric Omondi

Ushauri wangu kwa Eric Omondi

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
[emoji85] [emoji85] [emoji95] [emoji91] [emoji35] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji85] [emoji85] [emoji95] [emoji91] [emoji35] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji3] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hata Brain Deacon alimwigiza Yesu, so sioni tatizo kwa Omondi.
Ninacho mshauri, aongeze lishe. Jamaa ni slim mno hadi anaogopesha.

Huo u slim wa hivyo wengine tunaulilia hatuupati, all in all mwili wa hivyo ndio mpango mzima mkuu. Kuhusu ku act that way ni kweli it's a detriment kwa Imani za watu wengine coz itachukuliwa kuwa anadhihaki
 
Unafahamu kitu kinaitwa imani? Hii kama si imani yako ni vema ukakaa kimya, ni kwa kupitia vitu vidogo sana vya kiimani watu walifanya vikasababisha mauaji ya kutisha vilema na uharibifu wa Mali
Wahindu wanaamini ngo'ombe ndio mungu wao na wanaabudu huyo mnyama kwa unyenyekevu na heshima kubwa sana? Je ng'ombe ni mungu kweli? Mbona huku ndio nyama inayoliwa sana?
Kule kwao hata ukichora picha tu ya ngo'mbe anachinjwa outrage yake itachukua headlines unajua ni kwa nini? IMANI
Kweli kabisa tusifanye dhihaka kwenye imani kuleta dhihaka kwenye imani kunaleta chuki tena chuki mbaya Sana kila mtu aheshimu imani ya mwengine iwe ukristo uislam hindu budha n.k mi ni Muslim ila cjapenda omondi ilivyofanya
 
i can see radical Christians at their best,well,thats okay,ila mbona dini nyingine wakiwa wanawasumbua na kuwakejel innocent Christians mnakaa kimya?hawa wafuga ndefu na usumbufu wao kwa nini mnakaa kimya?Mwacheni Omondi wa kumhukumu ni Mungu,sio nyie.
Above all thanks you Kenyan kwa good shows za stand up comedy,mpo safi kwenye sekta hio.Hapa kwetu Tz nasema hakuna msanii anayewafikia hata robo.Keep it up
 
i can see radical Christians at their best,well,thats okay,ila mbona dini nyingine wakiwa wanawasumbua na kuwakejel innocent Christians mnakaa kimya?hawa wafuga ndefu na usumbufu wao kwa nini mnakaa kimya?Mwacheni Omondi wa kumhukumu ni Mungu,sio nyie.
Above all thanks you Kenyan kwa good shows za stand up comedy,mpo safi kwenye sekta hio.Hapa kwetu Tz nasema hakuna msanii anayewafikia hata robo.Keep it up
Please refer heading
 
Kwa wengine hii kitu inaweza ikaonekana sahihi mpaka ile siku atakapogusa upande wao ndio akili itawakaa vizuri.
 
Eric kashakuw mkuda, mpumbavu sana huyu.. iweje afanye picha kama hii.. ku.manyoko huyu.!!

Mshenzi huyu, anafaa kupigwa shaba huyu.. chizi kweli, alafu anandika mwizi..!! huyo hafai kuishi, anakera sana siku hizi.. sura mbayaaaa, akili chafuuu, dead kabisa Eric siku hz..
Eric kashadata tayari maombi yanaitajika sana kwa Eric.
 
i can see radical Christians at their best,well,thats okay,ila mbona dini nyingine wakiwa wanawasumbua na kuwakejel innocent Christians mnakaa kimya?hawa wafuga ndefu na usumbufu wao kwa nini mnakaa kimya?Mwacheni Omondi wa kumhukumu ni Mungu,sio nyie.
Above all thanks you Kenyan kwa good shows za stand up comedy,mpo safi kwenye sekta hio.Hapa kwetu Tz nasema hakuna msanii anayewafikia hata robo.Keep it up
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Vizuri kabisa, tatizo kuna watu humu na issue zao are very complicated, wamekomaa kukosoa mara dini sijui imefanyaje wakati hawajaishika hiyo dini ni wanafiki, malaya, wachawi tu, pili omundi hajakashifu chochote
Ila mi naona kulikua na maigizo mengine mazuri tu zaidi hata ya hili alofanya
 
ed4c6f07b9aa666cf7ef71f459b7eb03.jpg
huyu dogo huwa anakula nini?

Mbona utapiamlo umemkamata sana?
 
919e4cfcb2128c82081a1d1efde4c1b0.jpg
Akiwa anaendelea kufanya vizuri kwenye kipindi chake cha comedy kwenye TV! Ameanza kulewa sifa na kujisahau
Kwa hulka na haiba yake ni mtu wa vituko na vibweka, hili si tatizo kwakuwa ndivyo alivyo ni hulka, ni mtu anayependa kuwa spotlight kwenye kila anachofanya (hili kuna wakati lina madhara yake)
f426550cbbd69a4c79cb238782a36daa.jpg
naamini kabisa kabla hajawa maarufu na kushika hela alikuwa muumini mzuri wa imani yake, pengine mkristo kutokana na jina lake. inawezekana kabisa alipiga goti akisali kuomba mafanikio
Eric huyo wa wakati huo si huyu wa sasa! Wiki hii kapost picha akiwa kaangikwa msalabani kama Kristo Yesu na juu yake akaandika MWIZI ASAMEHEWA
Eric pamoja na kipaji chake lakini anategemea watu ili kazi zake ziweze kuonekana, ni kati ya watu hao kati yao ni wa imani anayoidhihaki
Ukiwa msanii unakuwa na wafuasi wengi, unachotakiwa kufanya ni kuishi Kwa weledi, heshima na busara na makundi yote katika jamii...utafika mbali
Wasanii wengi wameangushwa na ugomvi ulevi bifu, madawa lakini pia dharau kwenye imani za wengine
6c2ead718f138dc354c1d64206756c1b.jpg
Eric anaweza kujitetea Kwa maneno mengi kama alivyosema member mmoja hapa jamvini kuwa kile kitendo hakina uhusiano na ukristo bali ni upagani lakini ajue tayari amewakwaza wengi na hicho kitendo mashabiki wake wasipokipotezea kitamgharimu! Chezea vingine lakini sio imani za watu
Ifike mahali tuheshimu dini za watu hata kama hazituhusu,,,..
 
Enyi watz mkajishughulishe na matatizo yenu.
Hao wachawi wenyu sijui Mishana jr. na wapumbavu wenzake et al wakatafute kazi ya kufanya.
Wengine wenyu kujikomba na udini utadhani ni waanzilishi wa hizo dini za wazungu na waarabu,wengine utadhani watakatifu...mnajiaibisha tu tena mbele ya kadamnasi,yetu hayawahusu watz, kamtafuteni Diamondi mkamseme seme.
Hii rizki ya mtu ,haiwahusu ndewe wala sikio.
 
Enyi watz mkajishughulishe na matatizo yenu.
Hao wachawi wenyu sijui Mishana jr. na wapumbavu wenzake et al wakatafute kazi ya kufanya.
Wengine wenyu kujikomba na udini utadhani ni waanzilishi wa hizo dini za wazungu na waarabu,wengine utadhani watakatifu...mnajiaibisha tu tena mbele ya kadamnasi,yetu hayawahusu watz, kamtafuteni Diamondi mkamseme seme.
Hii rizki ya mtu ,hayawahusu ndewe wala sikio.
Kama huna cha kuandika bora ukae kimya
 
Back
Top Bottom