Si kwamba sioni umuhimu wa kuushauri upande wa pili lkn naona dada Hamisa ni kama anaonewa.Haiwezekani ukawa baba bora huku ukimuaibisha Mama wa mtoto wako.Hamissa tu ndo anastahili ushauri sio?haya bana. Ila ungekua fair kama ungetoa Ushauri pia na kwa upande wa pili
Pamoja mkuuSi kwamba sioni umuhimu wa kuushauri upande wa pili lkn naona dada Hamisa ni kama anaonewa.Haiwezekani ukawa baba bora huku ukimuaibisha Mama wa mtoto wako.
Kama hakuwa hitajio basi asingemfuata. Kumuumiza kwa kujionesha ni kheri Hamisi awe kimya.
Kashajitangaza yupo single hana uhusiano na mume wa mtu mwaka unapoishia.. tho alikuwa anamalizia mwaka kwa miaka minne iliyopita bila kuwa na huyo mwanaume wa mtu.
Jina Mungu msiwe mnalichezea hivi kwa msiowafahamu.. wenzenu wengineo ni voodoo kwa kwenda mbele.
Well saidKashajitangaza yupo single hana uhusiano na mume wa mtu mwaka unapoishia.. tho alikuwa anamalizia mwaka kwa miaka minne iliyopita bila kuwa na huyo mwanaume wa mtu.
Jina Mungu msiwe mnalichezea hivi kwa msiowafahamu.. wenzenu wengineo ni voodoo kwa kwenda mbele.
KabsaaSi kwamba sioni umuhimu wa kuushauri upande wa pili lkn naona dada Hamisa ni kama anaonewa.Haiwezekani ukawa baba bora huku ukimuaibisha Mama wa mtoto wako.
Kama hakuwa hitajio basi asingemfuata. Kumuumiza kwa kujionesha ni kheri Hamisi awe kimya.