Hbr wapendwa
Najitokeza kumuusia mdada Hamisa Mobeto.
Sikufahamu lkn nafuatilia kinachoendelea kukuhusu.
Ninafarijika kuwa bado una sehemu ya hofu ya Mungu kwa kuzingatia hata maagizo yanayohitajika katika sala.
Wosia wangu
Ni Mwenyezi Mungu pekee anayegawa riziki,mtegemee.
Ni Mwenyezi Mungu pekee anayewainua waja jiegemeze.
Ni Mwenyezi Mungu pekee anayehukumu nyenyekea.
Jiepushe n'a marumbano.
Heshima yako ni Nuru kwako n'a kizazi chako.
Usikufuru kwa ulichopewa n'a Mwenyezi Mungu.
Hata kukaa kimya pia ni majibu kwa wenye hekima
Kila la kheri.
Najitokeza kumuusia mdada Hamisa Mobeto.
Sikufahamu lkn nafuatilia kinachoendelea kukuhusu.
Ninafarijika kuwa bado una sehemu ya hofu ya Mungu kwa kuzingatia hata maagizo yanayohitajika katika sala.
Wosia wangu
Ni Mwenyezi Mungu pekee anayegawa riziki,mtegemee.
Ni Mwenyezi Mungu pekee anayewainua waja jiegemeze.
Ni Mwenyezi Mungu pekee anayehukumu nyenyekea.
Jiepushe n'a marumbano.
Heshima yako ni Nuru kwako n'a kizazi chako.
Usikufuru kwa ulichopewa n'a Mwenyezi Mungu.
Hata kukaa kimya pia ni majibu kwa wenye hekima
Kila la kheri.