Ushauri wangu kwa Jaji Feleshi na Biswalo Mganga

Ushauri wangu kwa Jaji Feleshi na Biswalo Mganga

Wazee wa escrow soon out bila kuisujudia Sanamu na kulazimishwa kununua uhuru wao
 
Amani iwe nanyi!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya magufuli. Hawa ni pamoja na;

1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali

Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.

Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!
Roho mtakatifu aniambia Kuna watu wataanza ongea peke yao,au kua vichaa, tafadhali mh apewe ulinzi imara, asema bwana msimchukulie poa huyu mama, Kama mtu kaweza endesha bunge la Katiba bunge lilijaa masomi, na watu aina tofauti si mwepesi ,
Na mh ukipewa uenyekiti ukaona Kuna wazinguaji wabunge chukua KADI zao wakalime nyanya hiko, hasa huyu ndugai na tulia wasikuendeshe kabisa rudisha chama kwa wananchi binasfi Kama mwana chadema mpya mpya napenda ccm iliyobora ile tukaburuzane kwenye majukwaa ya kisiasa SIO kitegemea mbeleko, ,Huyo mwenyekiti wa uvccm fukuza Hana hutu kabisa,mzoea vya kunyonga kuchinja hawezi
Mwisho tahasis ya uris ina watu WAzuri kila idara watumie vizuri ,mfano ni hotuba zako check tunavyo zikubali ,maana yake wapenda shauriwa ,dam takatifu ikufunike
 
DPP afai ofisi yake imehusika kubambika watu kesi.Makando ya jiwe yaende nae
DPP mzee wa "makusanyo"

Alikuwa fasta akisia harufu ya pesa mahali .

Ole wako akujue una hela atachora mchoro na namha wakuvue hio ngawira zako[emoji1].

Alikuwa kwenye race ya makusanya na TRA na Traffic [emoji1]

Daaah nyakati tamu zile yaani Kama muvi hivi.

Ningekuwa Hollywood ningeandika script ya muvi ningeita "The Revenue Public Prosecutor.""

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Waamewabambika watu kesi na kuwalazimisha watoe pesa Ili kununua uhuru wao.Kongole wazee wa escrow waligoma kuisujudia Sanamu
 
Amani iwe nanyi!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya magufuli. Hawa ni pamoja na;

1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali

Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.

Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!
Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa![emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Amani iwe nanyi!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya magufuli. Hawa ni pamoja na;

1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali

Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.

Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!
samia suluhu anaonekana kuwakosha sana cdm,kulikoni??
 
Anateuliwa tu ujaji na mwenye mamlaka
Sio lazima apewe ujaji. Anaweza pelekwa hata wizarani kuwa chini ya mtu, Jaji ni cheo kikubwa sana na chenye heshima sana. Alivyonyanyasa watu na kujiweka juu ya Mhimili wa Mahakama lazima afyndishwe Safari hii.
 
Huyu hatumbuki kirahisi hivyo. Rejea katiba ya JMT juu ya cheo hicho na namna ya kumuondoa! Ni mlolongo mrefu!
Weka kifungu icho cha Katiba hapa. Acha hizo wewe. DPP anatumbulika kirahisi tu kama mkuu wa mkoa
 
Hawezi kabisa kupona kwenye kutumika vibaya na utawala wa Hayati.

Machozi ya kina Kabendera, Tito Magoti, Mdude Nyangari na kina Godbless Lema lazima yaende nae. Hawezi kwepa haya.
Watu wana dhambi sana,,yaani tumbo linafanya mtu anakuwa katili,mnyama
 
Back
Top Bottom