Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakutaftaDPP kwakweli a aondolewe, Pia inatakiwa tujue Yale mabilioni waliyokuwa wanalipa watuhumiwa kwenye sheria mpya ya plea bargen ,yaliwekwa kweny account gani,,
Roho mtakatifu aniambia Kuna watu wataanza ongea peke yao,au kua vichaa, tafadhali mh apewe ulinzi imara, asema bwana msimchukulie poa huyu mama, Kama mtu kaweza endesha bunge la Katiba bunge lilijaa masomi, na watu aina tofauti si mwepesi ,Amani iwe nanyi!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya magufuli. Hawa ni pamoja na;
1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali
Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.
Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!
Huyu hatumbuki kirahisi hivyo. Rejea katiba ya JMT juu ya cheo hicho na namna ya kumuondoa! Ni mlolongo mrefu!DPP atumbuliwe
DPP mzee wa "makusanyo"DPP afai ofisi yake imehusika kubambika watu kesi.Makando ya jiwe yaende nae
Sio KESI tu hata kuwachukulia watu FEDHA ZAO kwa kisingizio cha Kukiri KOSA nje ya MahakamaDPP afai ofisi yake imehusika kubambika watu kesi.Makando ya jiwe yaende nae
Katiba sio msahafuHuyu hatumbuki kirahisi hivyo. Rejea katiba ya JMT juu ya cheo hicho na namna ya kumuondoa! Ni mlolongo mrefu!
Hili ni muhimu sana kujulikana.DPP kwakweli a aondolewe, Pia inatakiwa tujue Yale mabilioni waliyokuwa wanalipa watuhumiwa kwenye sheria mpya ya plea bargen ,yaliwekwa kweny account gani,,
Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa![emoji1545][emoji1545][emoji1545]Amani iwe nanyi!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya magufuli. Hawa ni pamoja na;
1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali
Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.
Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!
Sijalinganisha katiba na msaafu! Usinifundishe!Katiba sio msahafu
samia suluhu anaonekana kuwakosha sana cdm,kulikoni??Amani iwe nanyi!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya magufuli. Hawa ni pamoja na;
1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali
Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.
Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!
Anateuliwa tu ujaji na mwenye mamlakaHuyu hatumbuki kirahisi hivyo. Rejea katiba ya JMT juu ya cheo hicho na namna ya kumuondoa! Ni mlolongo mrefu!
Wote wawili ni takataka. Ila natamani kesho Biswalo aondolewe ofisini kwa aibu kama yule wa TPAHapo kuna mmoja lazima atatolewa kwenye nafasi yake
Majinga yaleMataga wamepoteana.
Sio lazima apewe ujaji. Anaweza pelekwa hata wizarani kuwa chini ya mtu, Jaji ni cheo kikubwa sana na chenye heshima sana. Alivyonyanyasa watu na kujiweka juu ya Mhimili wa Mahakama lazima afyndishwe Safari hii.Anateuliwa tu ujaji na mwenye mamlaka
Weka kifungu icho cha Katiba hapa. Acha hizo wewe. DPP anatumbulika kirahisi tu kama mkuu wa mkoaHuyu hatumbuki kirahisi hivyo. Rejea katiba ya JMT juu ya cheo hicho na namna ya kumuondoa! Ni mlolongo mrefu!
Watu wana dhambi sana,,yaani tumbo linafanya mtu anakuwa katili,mnyamaHawezi kabisa kupona kwenye kutumika vibaya na utawala wa Hayati.
Machozi ya kina Kabendera, Tito Magoti, Mdude Nyangari na kina Godbless Lema lazima yaende nae. Hawezi kwepa haya.