ninosi
Senior Member
- Jun 30, 2022
- 151
- 333
Kuna 'Kijana wa Mzee Kilomoni' namuona tangu siku ya jana anajaribu kumtikisa Mnyama. Ndani ya siku 1 kafungua nyuzi zaidi ya 2 akihoji uwekezaji wa Mo katika timu bora kabisa ukanda wa Africa Mashariki na Kati, Simba SC huku akifufua 'nyuzi' za nyuma kwa kupost kuwa amembuka sana 'Mzee wake'.
MASWALI NILIYOJIULIZA:
'Kijana wa Mzee Kilomoni' umejiunga JF tangu 12/10/2017. Tangu kipindi hicho hukuwahi kupost chochote kuhusu mpira wala Simba SC.
1. Tangu jana unahoji kuhusu uwekezaji wa Mo, 'Kijana' hukua na taarifa Mo kakabidhiwa timu tangu 3/12/2017?
2. Kijana kama umemkumbuka 'Mzee wako' si umfuate kwake?
USHAURI WANGU KWAKO:
1. Timing yenu ya kuja kutuvuruga mda huu tukiwa na majambo lukuki ni mbovu mno.
2. Simba SC ya sasa ni IMARA MNO.
MASWALI NILIYOJIULIZA:
'Kijana wa Mzee Kilomoni' umejiunga JF tangu 12/10/2017. Tangu kipindi hicho hukuwahi kupost chochote kuhusu mpira wala Simba SC.
1. Tangu jana unahoji kuhusu uwekezaji wa Mo, 'Kijana' hukua na taarifa Mo kakabidhiwa timu tangu 3/12/2017?
2. Kijana kama umemkumbuka 'Mzee wako' si umfuate kwake?
USHAURI WANGU KWAKO:
1. Timing yenu ya kuja kutuvuruga mda huu tukiwa na majambo lukuki ni mbovu mno.
2. Simba SC ya sasa ni IMARA MNO.