Ushauri wangu kwa Lemutuz

Aibu sana, ila mwenyewe kishajitetea kuwa ana mashine pale katoka tu kuoga maji ya baridi ndo maana kimeonekana vile....ila huyu baba hapana!!!!!
Na aliemrekodi hajafanya vizuri
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]...
Huyo jamaa kweli hamnazo.
Mi nikajua atakanusha kwamba aliyerekodiwa sio yeyee!!.
 
umaarufu umemfanya akapata aibu ya maishani.
 
Sijui watu wanaconclude vipi kuwa hiyo video imepigwa na under 20.

Hiyo siyo akili ya under 20,aliepiga ni mtu mzima above 25.

Nashangaa watu eti wanamwonea huruma lemutuz wakati mwenyewe anaona kawaida tu
 
Sijui watu wanaconclude vipi kuwa hiyo video imepigwa na under 20.

Hiyo siyo akili ya under 20,aliepiga ni mtu mzima above 25.

Nashangaa watu eti wanamwonea huruma lemutuz wakati mwenyewe anaona kawaida tu
Serves him right,
 
asee ingekuwa mimi sitoki nje mwezi. Halafu video imesambaa IG, whatsapp groups, youtube, jamii forums kama upepo! Mshkaji anahitaji ushauri wenu jamani la sivyo tutampoteza tusimlaumu.
 
Iv ndugu zake wa karibu, hususan wa kike, watoto wake, hawajaona kweli!
 
Sema nini ule ni undezi mi sijapenda kabisa hili tukio
 
Pole kama imekuuma but inshort Lemutuz mwenyewe anapenda kujidhalilisha kulumbana na wanawake...hayo ndo matunda yake nadhani hata aliyempiga picha ni mwanamke na ana yake ya moyoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…