shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]...Aibu sana, ila mwenyewe kishajitetea kuwa ana mashine pale katoka tu kuoga maji ya baridi ndo maana kimeonekana vile....ila huyu baba hapana!!!!!
Na aliemrekodi hajafanya vizuri
umaarufu umemfanya akapata aibu ya maishani.Natoa ushauri wangu wa bure kwa Lemutuz aache kabisa kutoka na watoto maana leo kadhalilishwa mpaka tumeona tusivyotakiwa kuona.
Please oa kabisa, sidhani kama angekua mkeo angefanya kitendo hicho. Laana ya zinaa ndo hiyo unabaki kudhalilishwa na wajukuu halafu ndo wamemrushia hasimu wako kipele kikapata mkunaji.
Serves him right,Sijui watu wanaconclude vipi kuwa hiyo video imepigwa na under 20.
Hiyo siyo akili ya under 20,aliepiga ni mtu mzima above 25.
Nashangaa watu eti wanamwonea huruma lemutuz wakati mwenyewe anaona kawaida tu
Halipii Papuchi wamemkomoa
Ungejua huyo lemutuz anavyomchambaga Mange kuhusu kifo cha baba yake usingemtetea hapa!
Huyo jamaa haziivi na sisters zake,dada yake alivyotumbuliwa kwa kusema kuna ugonjwa wa zika,yeye aliandika STRAIGHT TALK kwamba ni sawa anaunga mkono uamuzi wa JPM,ugua magonjwa yote ila usiombe njaaIv ndugu zake wakarimu, hususan wa kike, watoto wake, hawajaona kweli!
kwani zinaa tunafanya peke yetu sema binadamu tuache zinaa
Kwa akili zake isikute alijirekodi mwenyewe!Aibu sana, ila mwenyewe kishajitetea kuwa ana mashine pale katoka tu kuoga maji ya baridi ndo maana kimeonekana vile....ila huyu baba hapana!!!!!
Na aliemrekodi hajafanya vizuri
Mimi sujaona hiyo video iko je?kama kuna mtu anaweza kunielezea tu.Mi nilikuwa sijui yule ni nani aisee kumbe lemutuz
Pole kama imekuuma but inshort Lemutuz mwenyewe anapenda kujidhalilisha kulumbana na wanawake...hayo ndo matunda yake nadhani hata aliyempiga picha ni mwanamke na ana yake ya moyoni...Kinachonishangaza kutoka kwenu nyie wanaume kwa issue hii ni:
1.Hamjaona kama mwanamume mwenzenu kadhalilishwa na hii ni dalili pia ya nyie. Kaka zenu. Baba zenu nk kudhalilishwa kwa Mitindo hii.
2.Hamjamlaani kama wanaume mtu mjinga kama Mange kwa kufanya kitendo kisicho cha ustaarabu na amekuwa anafanya Hivi Mara nyingi tu .ingawa mjue Mange Yeye ni mdakaji tu. Kumbe mna wadada wengi uko kwenu hawana courage Ila Mange anawapa Platform ya ujinga huuu.
3.Mambo ya maumbile ni Zawadi sasa kila mtu na mtu wake. Nyie wanaume ni hatari kuanza kufanya mambo yenu kuwa kigezo cha kudhalilishana.
4.mnashusha sana hadhi yenu humu JF