buswagg
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 728
- 1,352
In short wananchi tunafahamu weakness walonayo viongozi wengi serikalini ,
Sio waoga kuiba by any means, yani upenyo mdogo tu wanaharibu kila kitu, pia ni very slow thinkers, pia mifumo ya usimamizi wa mashirika makubwa ya serikali unaamuliwa na wana siasa na sio wasomi walobobea, so hua hakuna any improvement kwenye hayo mashirika zaidi ya ukiritimba na kufa kifo cha taratibu kama mwendo kasi ulivotaka kuanza kufa, yapo mengiila now nisiandike sana,
so serikali mkitaka hizi treni ziendele kuimalika na kusimama vizuri wapeni private investors tu, serikali ibaki kua msimamizi na mtoa muongozo, hasa wa kusimania prices na maboresho ili wananchi wasinyonywe na miundombinu iwe inarekebishwa mala kwa mala na hayo makampuni yatakayokua yanasimamia, na ipokee kodi tu, na mikataba ya muda mfupi mfupi, 3 yeas maxmum, manamtathmini then alinew mkataka au aje mwingine..
,
USHAURI WANGU
Tuwape investors wa China, Korea, Japan au US, huu mradi wauendeshe wao, sababu nimeshuhudia wao hufanya vizuri sana kwenye kuendesha mashirika ya hizi SGR thing, na huweka system bora sana za kudeal na wateja wanaotumia, hata huongeza technology nzuri sana na kuwa rahisi sana kwa watumiaji. Only best system itasimamia huu mradi vizuri.
MH. Rais Samia Suluhu Hassan, please zingatia ushauri wangu, utakuja kunielewa hiki nachozungumza sasa. Ukitaka mradi uendelee kuimarika, please find investors from those countries, or even anywhere, ila wasiwe wahindi wala waarabu[emoji19], cas hao ni worse kwenye hili, yani bora hata watz 100% kuliko hao, usijaribu hao [emoji120][emoji120][emoji120]
Sio waoga kuiba by any means, yani upenyo mdogo tu wanaharibu kila kitu, pia ni very slow thinkers, pia mifumo ya usimamizi wa mashirika makubwa ya serikali unaamuliwa na wana siasa na sio wasomi walobobea, so hua hakuna any improvement kwenye hayo mashirika zaidi ya ukiritimba na kufa kifo cha taratibu kama mwendo kasi ulivotaka kuanza kufa, yapo mengiila now nisiandike sana,
so serikali mkitaka hizi treni ziendele kuimalika na kusimama vizuri wapeni private investors tu, serikali ibaki kua msimamizi na mtoa muongozo, hasa wa kusimania prices na maboresho ili wananchi wasinyonywe na miundombinu iwe inarekebishwa mala kwa mala na hayo makampuni yatakayokua yanasimamia, na ipokee kodi tu, na mikataba ya muda mfupi mfupi, 3 yeas maxmum, manamtathmini then alinew mkataka au aje mwingine..
,
USHAURI WANGU
Tuwape investors wa China, Korea, Japan au US, huu mradi wauendeshe wao, sababu nimeshuhudia wao hufanya vizuri sana kwenye kuendesha mashirika ya hizi SGR thing, na huweka system bora sana za kudeal na wateja wanaotumia, hata huongeza technology nzuri sana na kuwa rahisi sana kwa watumiaji. Only best system itasimamia huu mradi vizuri.
MH. Rais Samia Suluhu Hassan, please zingatia ushauri wangu, utakuja kunielewa hiki nachozungumza sasa. Ukitaka mradi uendelee kuimarika, please find investors from those countries, or even anywhere, ila wasiwe wahindi wala waarabu[emoji19], cas hao ni worse kwenye hili, yani bora hata watz 100% kuliko hao, usijaribu hao [emoji120][emoji120][emoji120]