Ushauri wangu kwa Rais Samia kuhusu treni ya umeme (SGR)

Ushauri wangu kwa Rais Samia kuhusu treni ya umeme (SGR)

Mkataba uwe wa wazi sio wa siri, ili mamlaka zote za juu ziwe zinafatilia na kukagua kila jambo, asipewe mtu mmoja au wachache kusimamia mywekezaji. Bunge liwe linaidhinisha kila kitu kuhusu mradi. Mgawanyo wote na issue zingine za muwekezaji ziwe zinapitia bungeni kwenda mamlaka husika, na sio mkurugenzi sjui waxiri au board flani ndio iwe inaamua kila kitu, big no.

Mkataba uwe wa wazi ili kutoa mianya ya kuiba kwa kuwapa wawekezaji mashart ya kumfaidisha anaetoa go ahead, kila jambo lipitie bungeni full stop
Haya yote unaandika ukiwa usingizini unaota?
Unaishi Tanzania au nchi gani? Mwekezaji gani atakubali huo mkataba wa wazi hapa Tanzania?
Umelizungumza sana bunge hapo ukiamini bunge lokihusika mambo yanakua mazuri. Bila kujua mikataba yote ya IGA inapitia bungeni, kaangalie mkataba upi ni mzuri
Kaja mwekezaji wa bandari, IGA ikajadiliwa bungeni uliona kipi cha tofauti kilitokea?
 
Una mawazo mazuri, ila jitahidi sana kwenye uandishi wako usichanganye sana lugha hata mahali ambapo hapastahili, wewe unachomekea kiswa-english kila sentensi.

Kama nia ni kumuandikia raisi wa nchi basi rekebisha huu uandishi kijana, tunajua wewe ni msomi na kingereza unakijua huna haja ya kuthibitisha hilo kupitia makala hii yenye madini adhimu, utapoteza lengo ama utapuuzwa na walengwa.

Yangu ni hayo tu kwako.
 
I know that, na ndio maana next plan ya serikali ni kumake sure inafika bandarini ili kurahisishwa uchukuzi wa mizigo na kupeleka makontena nchi nzima kirahisi, that's the plan, sisi tunashauri kuhusu uongozwaji na utunzaji wa mradi, serikali inaendelea kuimarisha sehemu zingine za mradi..

UENDESHAJI + UTUNZAJI + UBORESHAJI = MATOKEO MAZURI YA MRADI + KUINGIZIA SERIKALI MAPATO
Ndugu yangu umeishaijaribu? Leo mimi asubuhi nimeipanda kutoka Dar hadi Dodoma
 
Sikiliza ndugu yangu bora utoa ushauri kwa viongozi wanaohusika .

Huo ni mwanzo tu, changamoto ni kawaida pia kwa sasa kuna mipango mingi hususani katika kuwaanda wafanyakazi wa hapo hata kwenda kusoma nje.

Bado wabongo wana uwezo wa kuendesha hapo jamani ni suala la kawaida , tusifikie hatua ya kuwa wakali mapema sana je, ikitokea ajali si mtaandamana kabisa ? Ajali zinatokea katika nchi kubwa sembuse hapo .

Biashara imeanza hapo kuna kitengo cha usalama lazima kiwe makini ili mambo kama hayo yasijirudie , mapema sana kuwapa jamaa wale , wamejenga bado wao waendeshe kweli !?

Nawashauri kwa wafanyakazi waliopo wasiishie kuwapa sare nzuri ila wanatakiwa kusoma sana kulingana na viwango ili kutoa huduma za kimataifa . Mambo sio rahisi hiyo ni biashara huwezi kujua ni tatizo la asili au hujuma ..​
basi iundwe tume ya kusimamia na kuwaweka sawa wafanyakazi ili wawe smart na good arrangements kazini, wasiachwe wawe kawaida na wafanye wanavojiskia, no! kuwe na rules kali, ukikosea au kuzembea kidogo tu out!

japo bado nasimamia tuanze kumpa muwekezaji kwanza then tuwanoe watu wetu wajifunze kupitia muwekazaji, na serikali ipate feedback vizuri on how to do it then tujipe wenyewe waTz kucontrol everything tuachane na wawekezaji, but sio tuanze sisi, no! watz wataharibu vibaya wakianza wao, tujifunze kwanza then tukae wenyewe
 
Kadogosa ana gundi masikioni, je aliyoambiwa kabla alitekeleza?
No,, Kadogosa is very good la sivyo hata hapa tulipo tusingefikia.Kumbuka wakubwa walikuwa wanataka kupiga Hera Kwa inflate costs na wazabuni,,alijitahidi kupambana na nfiyo maana board ilivunjwa lakini yeye alibaki
 
Shida nyingine ni sheria za ovyo za ajira amabpo mtu akiajiliwa taasisi ya serikali basi Hadi kustafu ..wangeweka loop hole kama private
basi iundwe tume ya kusimamia na kuwaweka sawa wafanyakazi ili wawe smart na good arrangements kazini, wasiachwe wawe kawaida na wafanye wanavojiskia, no! kuwe na rules kali, ukikosea au kuzembea kidogo tu out!

japo bado nasimamia tuanze kumpa muwekezaji kwanza then tuwanoe watu wetu wajifunze kupitia muwekazaji, na serikali ipate feedback vizuri on how to do it then tujipe wenyewe waTz kucontrol everything tuachane na wawekezaji, but sio tuanze sisi, no! watz wataharibu vibaya wakianza wao, tujifunze kwanza then tukae weny
 
Haya yote unaandika ukiwa usingizini unaota?
Unaishi Tanzania au nchi gani? Mwekezaji gani atakubali huo mkataba wa wazi hapa Tanzania?
Umelizungumza sana bunge hapo ukiamini bunge lokihusika mambo yanakua mazuri. Bila kujua mikataba yote ya IGA inapitia bungeni, kaangalie mkataba upi ni mzuri
Kaja mwekezaji wa bandari, IGA ikajadiliwa bungeni uliona kipi cha tofauti kilitokea?
Sharti liwe mkataba wa wazi, hataki aende. Sio lazima vipengere vyote viwe wazi, but vipengele muhimu ambavyo wanasheria wataona viwe public.

Pia, bungeni najua nako wabunge wa hovyo nao wengi tu, but itakua rahisi kwa taarifa kuwafikia wananchi, cas wabungecwatakua wanafunua upuuzi wowote unaoendelea cas wabunge wenye uchungu kweli wapo (japo ni wachache) hivo kuna vitu watakua wanaomba muongozo/ufafanuzi, hio itakua inawapush back kidogo wapuuzi kupunguza upigaji cas wataogopa kujulikana.

all in all tueke muekezaji kwanza afungue njia
 
Una mawazo mazuri, ila jitahidi sana kwenye uandishi wako usichanganye sana lugha hata mahali ambapo hapastahili, wewe unachomekea kiswa-english kila sentensi.

Kama nia ni kumuandikia raisi wa nchi basi rekebisha huu uandishi kijana, tunajua wewe ni msomi na kingereza unakijua huna haja ya kuthibitisha hilo kupitia makala hii yenye madini adhimu, utapoteza lengo ama utapuuzwa na walengwa.

Yangu ni hayo tu kwako.
ok ni sawa mkuu taedit, ni vile kuzoea tu
 
In short wananchi tunafahamu weakness walonayo viongozi wengi serikalini ,

Sio waoga kuiba by any means, yani upenyo mdogo tu wanaharibu kila kitu, pia ni very slow thinkers, pia mifumo ya usimamizi wa mashirika makubwa ya serikali unaamuliwa na wana siasa na sio wasomi walobobea, so hua hakuna any improvement kwenye hayo mashirika zaidi ya ukiritimba na kufa kifo cha taratibu kama mwendo kasi ulivotaka kuanza kufa, yapo mengiila now nisiandike sana,

so serikali mkitaka hizi treni ziendele kuimalika na kusimama vizuri wapeni private investors tu, serikali ibaki kua msimamizi na mtoa muongozo, hasa wa kusimania prices na maboresho ili wananchi wasinyonywe na miundombinu iwe inarekebishwa mala kwa mala na hayo makampuni yatakayokua yanasimamia, na ipokee kodi tu, na mikataba ya muda mfupi mfupi, 3 yeas maxmum, manamtathmini then alinew mkataka au aje mwingine..
,
USHAURI WANGU

Tuwape investors wa China, Korea, Japan au US, huu mradi wauendeshe wao, sababu nimeshuhudia wao hufanya vizuri sana kwenye kuendesha mashirika ya hizi SGR thing, na huweka system bora sana za kudeal na wateja wanaotumia, hata huongeza technology nzuri sana na kuwa rahisi sana kwa watumiaji. Only best system itasimamia huu mradi vizuri.

MH. Rais Samia Suluhu Hassan, please zingatia ushauri wangu, utakuja kunielewa hiki nachozungumza sasa. Ukitaka mradi uendelee kuimarika, please find investors from those countries, or even anywhere, ila wasiwe wahindi wala waarabu[emoji19], cas hao ni worse kwenye hili, yani bora hata watz 100% kuliko hao, usijaribu hao [emoji120][emoji120][emoji120]
Kila kiti investor acha kujizuma data buda
 
Shida nyingine ni sheria za ovyo za ajira amabpo mtu akiajiliwa taasisi ya serikali basi Hadi kustafu ..wangeweka loop hole kama private
yeah, hii kitu inanikera sana, hebu tubadiri hii sheria ya kipuuzi[emoji34],

zamani in 19c iliwekwa sababu kulikua na uhaba wa wasomi, ila sasa wako wengi hadi wanamwagika, akiwa mzembe na atoke tulete mwingine, sio kuhamishwa.

Mh Samia,.please hebu fanya kurekebisha hii kitu kwenye sheria na mikataba ya kazi, graduates wako wa kutosha na ni best students, iwe mtu akifanya upuuzi kazini atolewe faster aletwe mpya , hii itasaidia kuongeza umakini kazini cas mtu anakua anajua kabisa nikiharibu kidogo tu kazi sina
 
Hata umpee nani kama treni zipo ovyoo hakuna atakachowezaa.. ni sawa na mradi wa mwendokasi kwa sasaa hakuna namna mkurugenzi anaweza kutoa huduma bora maana magari yote ni hovyooo sanaa...! Kama hawakununua kichwa bora kwa ajili ya kutoa huduma sahihi ni lawmaaaa tuu kila siku fundi atashika spanaaa
 
yeah, hii kitu inanikera sana, hebu tubadiri hii sheria ya kipuuzi[emoji34],

zamani in 19c iliwekwa sababu kulikua na uhaba wa wasomi, ila sasa wako wengi hadi wanamwagika, akiwa mzembe na atoke tulete mwingine, sio kuhamishwa.

Mh Samia,.please hebu fanya kurekebisha hii kitu kwenye sheria na mikataba ya kazi, graduates wako wa kutosha na ni best students, iwe mtu akifanya upuuzi kazini atolewe faster aletwe mpya , hii itasaidia kuongeza umakini kazini cas mtu anakua anajua kabisa nikiharibu kidogo tu kazi sina
Siri ya kambi
 
No,, Kadogosa is very good la sivyo hata hapa tulipo tusingefikia.Kumbuka wakubwa walikuwa wanataka kupiga Hera Kwa inflate costs na wazabuni,,alijitahidi kupambana na nfiyo maana board ilivunjwa lakini yeye alibaki
Wanaongea lugha moja na CAG?
 
Back
Top Bottom