Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Kwanza kabisa piga marufuku wanasiasa na wasaka sifa kuja kambini kwa kisingizio cha kuleta hamasa kwa wachezaji. Kuna watu wanataka kuitumia Yanga kama mtaji wao kisiasa hawa ni wa kuwaeupuka kuelekea mechi hii muhimu.
Sote tumeona kinachotokea mechi za taifa stars wanasiasa wanaitumia team ya taifa mwisho wa siku mambo yanaharibika, tafadhal wanasiasa kaeni mbali na Yanga, hii team haiitaji kuhamasishwa na wana siasa ili ishinde, hata hizo pesa za kila goli ni upuuz tulipaswa kuzipuuza hazina maana yoyote sasa milion 20 wanagawana bei gn wachzaji?
Yanga imetumia gharama kubwa kutengeneza kikosi cha ushindi na benchi la ufundi imara kufikia mafanikio haya kwahyo hatuhitaji hamasa za wanasiasa kushinda mechi. Mpendwa rais wetu usiwaonee haya kuwachana hata huyo FA mchane ni marufuku kwenda kambini au popote kuwakarbia wachezaji kabla ya mechi.
benchi la ufundi waachwe wafanywe kazi yao hao wote wanaojiita wahamasishaji waende uwanjani kushangilia team hii ni hamasa tosha. Na baada ya game ndo wapewe nafasi kuzungumza na wachezaji kama watataka ila sio sasa.
Hata hii tabia ya mgeni rasm ni ya kishamba tunapaswa kuachana nayo mara moja,hata huyo karia apigwe marufuku kutaka kuleta hamasa yoyote kuelekea mechi hii.
Mpira na siasa vitu tofauti kabisa, nashangaa rais unakuwa muoga unawaonea haya badala uwachane!!
Sote tumeona kinachotokea mechi za taifa stars wanasiasa wanaitumia team ya taifa mwisho wa siku mambo yanaharibika, tafadhal wanasiasa kaeni mbali na Yanga, hii team haiitaji kuhamasishwa na wana siasa ili ishinde, hata hizo pesa za kila goli ni upuuz tulipaswa kuzipuuza hazina maana yoyote sasa milion 20 wanagawana bei gn wachzaji?
Yanga imetumia gharama kubwa kutengeneza kikosi cha ushindi na benchi la ufundi imara kufikia mafanikio haya kwahyo hatuhitaji hamasa za wanasiasa kushinda mechi. Mpendwa rais wetu usiwaonee haya kuwachana hata huyo FA mchane ni marufuku kwenda kambini au popote kuwakarbia wachezaji kabla ya mechi.
benchi la ufundi waachwe wafanywe kazi yao hao wote wanaojiita wahamasishaji waende uwanjani kushangilia team hii ni hamasa tosha. Na baada ya game ndo wapewe nafasi kuzungumza na wachezaji kama watataka ila sio sasa.
Hata hii tabia ya mgeni rasm ni ya kishamba tunapaswa kuachana nayo mara moja,hata huyo karia apigwe marufuku kutaka kuleta hamasa yoyote kuelekea mechi hii.
Mpira na siasa vitu tofauti kabisa, nashangaa rais unakuwa muoga unawaonea haya badala uwachane!!