Haha bro una ushabiki sana . Kenya wametuxid demokrasia kama umekuwa ukifuatilia siasa zao baada ya 2013(katiba mpya) utagundua hilo. Utawala wa sheria umekuwa sana Afrika Kusini ndio inayowazidi kwa Afrika. Pekee.Tumia madaraka yako ya Uraisi na simamisha Katiba kwa sasa na ongoza nchi nguvu mpaka hali itakapotengemaa, ni lazima ulifanye sasa hvi kama kweli unajipenda kwa maana usipofanya hivyo watakufanyia hivyo tena bila ya huruma, kama nilivyosoma ni kweli wanasema kwamba Kikatiba unabakia Raisi wa nchi lkn hauna Madaraka ya hire and fire, hivyo ni kama hauna power kihivyo, na hivi sasa tayari Raila Odinga nimesoma ameshakataa tarehe ya Uchaguzi mpya, hivyo hawa Upinzani wako wana ni ya kukuondoa madarakani kwa mlango wa nyuma!
Hivyo nakushauri you have to be the one to pull the trigger first kama kweli unajipenda, Raila Odinga anajua kwamba kwa kura hana namba za kushinda uchaguzi, hivyo fanya hilo simamisha Katiba, na ipange nchi upya, vinginevyo watakuondoa kwa nguvu, kila kitu kiko wazi, ...
Una maana na sisi tupo karibu na 1940? Maeneo mengi ndani ya Katiba yetu yamesiginwa mchana kweupe na bwana yule bila woga wala hofu yoyotemichango ya aina hii ilihitajika sana miaka ya 1940
Uhuru hana power ya kusimamisha Katiba. Kenya si Tanzania. Wacha ujinga na ushamba wewe. Wacha Uhuru ajaribu tuone kama hakutawaka moto. Unadhani Wakenya watakaa watulie wakati Uhuru anafanya upuzi huo. Hapa vita itatokea mara moja. Usituletee ujinga na udikteta wa magufuli. Peleka ujinga yako huko. Na kama hupendi demokrasia basi toka jukwaa la Kenya uende kwa jukwaa la mapenzi. Wakenya tulipitisha Katiba mpya kwa sababu hatupendi madikteta. Tunakumbuka jinsi Moi alitutesa na kwa hivyo hatutaki huo upuzi. Hatutaki ujinga. Mimi mwenyewe nimekuchukia tu uliposema katiba itupiliwe mbali. Hujui umuhimu wa Katiba na unastahili kuishi Syria kwa Bashar al Asad au Zimbabwe kwa Mugabe. Demokrasia haitawahi kufika Tanzania kama hivyo ndivyo munafikiria. You disgust me.
Uhuru hana power ya kusimamisha Katiba. Kenya si Tanzania. Wacha ujinga na ushamba wewe. Wacha Uhuru ajaribu tuone kama hakutawaka moto. Unadhani Wakenya watakaa watulie wakati Uhuru anafanya upuzi huo. Hapa vita itatokea mara moja. Usituletee ujinga na udikteta wa magufuli. Peleka ujinga yako huko. Na kama hupendi demokrasia basi toka jukwaa la Kenya uende kwa jukwaa la mapenzi. Wakenya tulipitisha Katiba mpya kwa sababu hatupendi madikteta. Tunakumbuka jinsi Moi alitutesa na kwa hivyo hatutaki huo upuzi. Hatutaki ujinga. Mimi mwenyewe nimekuchukia tu uliposema katiba itupiliwe mbali. Hujui umuhimu wa Katiba na unastahili kuishi Syria kwa Bashar al Asad au Zimbabwe kwa Mugabe. Demokrasia haitawahi kufika Tanzania kama hivyo ndivyo munafikiria. You disgust me.
[emoji75][emoji75][emoji75][emoji75]Una maana na sisi tupo karibu na 1940? Maeneo mengi ndani ya Katiba yetu yamesiginwa mchana kweupe na bwana yule bila woga wala hofu yoyote
Unampotosha ajikute matatizoni kama Laurent Gagbo wa Cote de voure ( Ivory Coast). Huu ushauri mbaya sana ambao unashusha credibility ya michango yako yote inayofuata baada ya thread hii.Lkn asiposimamisha watamshoot down, hivyo chaguo ni lake aidha aendelee kufanya appeasing politics apate sifa ya kuwa ,,Mwanademokrasia" na kulipa gharama ya kuondolea kwa nguvu na aibu kubwa au ku hit so hard that they will never come back!
Fanyeni haraka iwezekanavyo ndio turudi kejenga inchi,kusomesha watoto na kuimarisha uchumi.Nomalcy has to return to Kenya sababu huu ujinga wa electioneering 24/7 na 5yr election cycle unamadhara mengi sana.Hata Marekani hao hufanya kampeini za miaka miwili tu halafu wanarudi ku-focus kwa kazi sasa ona ujinga wetu maskini Kenya tunafanya siasa for 5yrs.Hiyo ndio sababu moja simpendi Odinga he brings this bad culture of electioneering 24/7 to a poor country whose #1 focus should be improving the welfare of its poverty stricken citizens.Watu wanaandika yao wakiwa kwenye kumbi za video huko Manzese, taarifa zao ni kwamba hali ni mbaya sana huku Kenya! Mimi niko Nai sasa hivi, hali haijakuwa shwari kama ilivo sasa hivi tangia sijui lini. Tumetulia tunangoja kumpa Raila retire ya lazima hivi karibuni!