Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
1961 wakati Tanganyika inapata uhuru.Unamuongelea mzamiru wa mwaka gan?
Hawatafunguka coz wanahitaji sare tu, watamaliza mchezo kwa kibonde ViperUmuhimu wa Mzamiru ni mkubwa kwakuwa horoya wanakuja kufunguka,,, halafu Baleke na Phiri sizani
Hawamo viwango vya kuwa kikosi cha kwanzKivip
SIMBA mkumbuke mmeifunga timu moja tu dhaifu kwenye kundi lenu....leo mnakutana na kiboko yenuAnza na kikosi hiki utakuja kunishukuru
Manula
Kapombe
Tshabalala
Inonga
Onyango
Kanoute
Sakho
Chama
Baleke
Phiri
Ntibazonkiza
Mzamiru akae benchi, anarudisha sana mipira nyuma badala ya kushambulia, Chama acheze namba 8 kesho, winga Sakho, winga Saido, wauaji Phiri na Baleke, mapema tu
Hapa kwa mudhamir nilijua naonaga mimi tu, kumbe tupo wengi,yani jamaa badala ya kupeleka mpira mbele yeye atauridisha nyuma na sio mara moja,hayupo directly sanaAnza na kikosi hiki utakuja kunishukuru
Manula
Kapombe
Tshabalala
Inonga
Onyango
Kanoute
Sakho
Chama
Baleke
Phiri
Ntibazonkiza
Mzamiru akae benchi, anarudisha sana mipira nyuma badala ya kushambulia, Chama acheze namba 8 kesho, winga Sakho, winga Saido, wauaji Phiri na Baleke, mapema tu
Na mie nimeona hapaa.Bila Mzamiru, huyo Putin atakula umeme dk ya 15 tu
Well saidBila Mzamiru, huyo Putin atakula umeme dk ya 15 tu
Bestie na wewe ni Mnyama?Na mie nimeona hapaa.
Tenaaa kindaki ndakiiiii.Bestie na wewe ni Mnyama?