Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Mkuu umetoka kuamka nini?? Kama huelewi kinachojadiliwa si dhambi kupita kimyakimya. Waachie wenye uelewa, wewe endelea kuwaza kupiga kura maana hilo ndilo fungu lako.
Wewe ndio upite kimya kimya na mawazo yako mgando,unawaza upatanisho wa nani na nani? Bunge maalum la Katiba lilimaliza kazi yake longtime ago tukapata katiba inayopendekezwa we unawaza nini, cjui ni hivyo viroba unavyokunywa vimekuzidi nguvu?Watanzania wanasubiri tarehe ya kupiga kura hiyo ndo habari ya mjini wewe!!