Ushauri wangu kwa vijana wenzangu.

Tamaa mbaya tunajua na mimi sina tamaa kabisa ya vitu vingine ispokuwa hawa wanawake, ndugu kuna wanawake wengine wazuri aisay lazima uinue handbrake juu, huwezi kuwapita mpaa uwavue chupi ndo unaona raha :biggrin:
HIvi we ni mtu wa aina gani Fazaa? Dereva ndio anaongoza hand break ya gari lake au hand break ndio inamuendesha dereva? Mmhh?
 
HIvi we ni mtu wa aina gani Fazaa? Dereva ndio anaongoza hand break ya gari lake au hand break ndio inamuendesha dereva? Mmhh?
Mimi ni mtu wa kawaida tu kama vile binadamu wengine.

Hivi we unadhani nani anaye muongoza mwenzake...Unadhani hand brake ikiwa juu dereva ataondoa gari.

Kuna hand brake zingine zikiwa juu huwa zina kataa kabisa kushuka chini ,mpaa zipate hand brake machine ya kuzisaidia kureleasing hand brake.
 

Vipi boss..
Kuna lililokukutaa ama....
(Though nimeipokea kwa mikono miwili...)
 

Kipi unachomaanisha.. Level in terms of nini...
 
sure 😛oa
 
Vipi boss..
Kuna lililokukutaa ama....
(Though nimeipokea kwa mikono miwili...)
.

Hakuna lililonikuta Mkuu ila nimeyakumbuka mausia ya zamani ya wazee wetu.Walikuwa wanaiasa sana jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…