IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 760
- 823
Kwanza mm sio muumini wa watu kupeana taraka.pili ndoa sio Jambo la kukurupuka tu ndugu zangu.nitaanza kuwapA ushauri wanaume;
*Jamani tupende kupunguza na kudhibiti hasira zetu tambueni pia kua wanawake nao wameumbiwa hasila
Unapochukua maamuzi magumu fikilia mala mbili michepuko sio mchongo,nije kwenu wanawake Tambueni mamlaka ya waume zenu.
Mume ni kiongozi jibizana nae kwa heshima na adabu,hakuna haki sawa kwenye ndoa.kipato isiwe sababu ya kumdhalau mwenzio,michepuko sio mchongo.
Sina mengi natumai wahusika wamenielewa
*Jamani tupende kupunguza na kudhibiti hasira zetu tambueni pia kua wanawake nao wameumbiwa hasila
Unapochukua maamuzi magumu fikilia mala mbili michepuko sio mchongo,nije kwenu wanawake Tambueni mamlaka ya waume zenu.
Mume ni kiongozi jibizana nae kwa heshima na adabu,hakuna haki sawa kwenye ndoa.kipato isiwe sababu ya kumdhalau mwenzio,michepuko sio mchongo.
Sina mengi natumai wahusika wamenielewa