Ushauri wangu kwa wanajamiiforums mnaotukana na kudhalilisha wenzenu bila sababu kisa Footbal

Ushauri wangu kwa wanajamiiforums mnaotukana na kudhalilisha wenzenu bila sababu kisa Footbal

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Every body is entitled to freedom of expression, this is a constitutional rights.Ipo kwenye Bill of Rights.

Kutoa maoni ni haki ambayo nobody huwezi kuichukua, ndio maana Rais anavumilia watu wakimkosoa na wengine wakimkejeli.

Mtu anapotoa mawazo yake sio lazima ww uyakubali au uyapende, heshimuni mawazo ya watu, mtu anatoa maoni wewe unamwambia hana akili, mara unamuita mngese, mbona ww hutoi hayo maoni mazuri? Mbona wengine hatuwatukani, we ukinipinga kwa hoja unapungukiwa nini.

Kwa mfano unanitukana na mm nikikutukania mamako we unajisikiaje, unafurahia mamako kutukanwa, pengine mamako amelazwa, au amefariki au amepumzika lkn mtu anakutukania mamako, we unajisikiaje.

Michael Armstrong katika kitabu chake cha Human Resources Management alisema namnunukuu,

"The management of people would be much easier if all people were the same, but we differ in aspect of values, culture, norms, behavior and so.on." mwisho w kunukuu.

Kama mawazo ya mtu huyapendi soma kisha yapuuze endelea na hamsini zako, heshima ni haki ya mtu, everybody is entitled to dignity.

Naomba sana sio poa kunitukana na mm nakutukania mamako, tuheshimiane.
 
Every body is entitled to freedom of expression, this is a constitutional rights.Ipo kwenye Bill of Rights.

Kutoa maoni ni haki ambayo nobody huwezi kuichukua, ndio maana Rais anavumilia watu wakimkosoa na wengine wakimkejeli.

Mtu anapotoa mawazo yake sio lazima ww uyakubali au uyapende, heshimuni mawazo ya watu, mtu anatoa maoni wewe unamwambia hana akili, mara unamuita mngese, mbona ww hutoi hayo maoni mazuri? Mbona wengine hatuwatukani, we ukinipinga kwa hoja unapungukiwa nini.

Kwa mfano unanitukana na mm nikikutukania mamako we unajisikiaje, unafurahia mamako kutukanwa, pengine mamako amelazwa, au amefariki au amepumzika lkn mtu anakutukania mamako, we unajisikiaje.

Michael Armstrong katika kitabu chake cha Human Resources Management alisema namnunukuu,

"The management of people would be much easier if all people were the same, but we differ in aspect of values, culture, norms, behavior and so.on." mwisho w kunukuu.

Kama mawazo ya mtu huyapendi soma kisha yapuuze endelea na hamsini zako, heshima ni haki ya mtu, everybody is entitled to dignity.

Naomba sana sio poa kunitukana na mm nakutukania mamako, tuheshimiane.
Pamoja na yote,wewe umemtukana mwenzio leo kwenye uzi wako kule Sports forum.Au nakufananisha id?
 
kuwa kama chura kiziwi. Puuza tu matusi yao, humu tunatumia utambulisho feki hata matusi ni feki, mama ako anaitwa mama 1979Magufuli? Kama sio basi matusi ya humu hayamuhusu,yanamuhusu mama yako feki mama 1979 Magufuli.

Kwanini unakuwa siriaz namna hiyo na kujiumiza?
 
Shida Iko kwenye utandawazi, kizazi Cha kuanzia miaka ya tisini kurudi nyuma kilikua na maadiri kupita kawaida.wadogo waliheshimu wakubwa na wakubwa waliwaheshimu wadogo, lakini Leo mtoto mdogo anaweza kutukana matusi hadharani Tena ya nguoni na Wala haogopi.ndiyo maana wengine tunapita kimya kimya.
 
Back
Top Bottom