msukule mzembe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 253
- 302
Any way awali ya yote nahitaji mtu yeyote mwenye namba za mganga anisaidie nina shida nae
Ishu inaanza kuna jamaa yangu mmoja hadi hapa tunapoongea anaumwa vibaya sana, huyo jamaa alikua na tabia ya kupenda vitu vya bure na kutaman vitu vya watu asivyojua chanzo chake.
Kwakupenda vitu vya bure amelogwa kijana yule saizi nipo nae namuuguza na hospitali wamethibitisha hana tatizo
Nisingependa niwachoshe ila nawakumbusha kua UCHAWI UPO NA MSIPENDE VYA BURE NDUGU ZANGU.
Nawasilisha madini haya , asanteni wakuu ila uchawi upo jamani
Ishu inaanza kuna jamaa yangu mmoja hadi hapa tunapoongea anaumwa vibaya sana, huyo jamaa alikua na tabia ya kupenda vitu vya bure na kutaman vitu vya watu asivyojua chanzo chake.
Kwakupenda vitu vya bure amelogwa kijana yule saizi nipo nae namuuguza na hospitali wamethibitisha hana tatizo
Nisingependa niwachoshe ila nawakumbusha kua UCHAWI UPO NA MSIPENDE VYA BURE NDUGU ZANGU.
Nawasilisha madini haya , asanteni wakuu ila uchawi upo jamani