Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wanasiasa, na hata Wanaharakati wengi duniani, wakiwemo wa nchi hii (including the late Magufuli) wanaonekana kupenda sana kuja kukumbukwa baadae hata na vizazi vijavyo, ila hawaelewi wafanye nini waache legacy na hata historia imeshindwa kuwasaidia ni namna gani wanaweza kuacha legacy.
In short, legacy (a good one) is not simply about being a president, king or queen or building infrastructures, etc, but is primarily about how you live in people's heart (i.e, touching their beliefs, traditional values and culture, etc) and more important about how you touch people's life(embracing humanity and people's dignity).
Na hii ndio sababu watu kama kina Mandela, Martin Luther King, Sir Issac Newton na wengineo wameacha legacy kubwa sana duniani japo hawakujenga miundombinu na wengine hawakuwa hata marais, na pia hii ndio sababu kwani watu kama kina Adolf Hitler wameacha legacy mbaya japo walijenga na kuendeleza mataifa yao.
Habari ndio hiyo.
More important :
Legacy is not about propaganda, though propaganda can be about legacy.
JamiiForums is where my legacy is and can be always found.
In short, legacy (a good one) is not simply about being a president, king or queen or building infrastructures, etc, but is primarily about how you live in people's heart (i.e, touching their beliefs, traditional values and culture, etc) and more important about how you touch people's life(embracing humanity and people's dignity).
Na hii ndio sababu watu kama kina Mandela, Martin Luther King, Sir Issac Newton na wengineo wameacha legacy kubwa sana duniani japo hawakujenga miundombinu na wengine hawakuwa hata marais, na pia hii ndio sababu kwani watu kama kina Adolf Hitler wameacha legacy mbaya japo walijenga na kuendeleza mataifa yao.
Habari ndio hiyo.
More important :
Legacy is not about propaganda, though propaganda can be about legacy.
JamiiForums is where my legacy is and can be always found.