nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Kawaida ya walemavu ,Hata mimi jamaa sikumfahamu nimemfahamu baada ya kuajiriwa Simba, ila sasa naona anaitunishia msuli Simba yaani anajiona bila yeye Simba haiendi na kama viongozi wanamuogopa flani.
Piga chini fasta.