Ushauri wangu kwenu Simba. Badilisheni na hapa pia

Hata mimi jamaa sikumfahamu nimemfahamu baada ya kuajiriwa Simba, ila sasa naona anaitunishia msuli Simba yaani anajiona bila yeye Simba haiendi na kama viongozi wanamuogopa flani.

Piga chini fasta.
Kawaida ya walemavu ,
 
Manara hana mchango simba. Mnajidanganya na kumdanganya. Hamna kitu pale. Mnawezana naye mashabiki msio na elimu.

Mpira wa bongo sio wa Elimu ndio maana timu ikiwa bingwa inapata milion 80 na bajet yake Kwa msimu ni billion 3
 
Watu wana wekeza pesa wewe upeleke ukichaa?
 
yanga amtume manara wewe una umwa eeeh, yanga haangaiki na timu za kipumbavu
 
Mleta mada ni hivi, mpira wa kibongo auhitaji watu wenye akili na wenye kuujua mpira la sivyo tutawaua hao watu na stress ama pressure za kujitakia. Mpira wetu unahitaji watu dizaini ya kina Manara, yaani useless people na wasio na akili timamu ili wawe tu wanachekesha watu na kujiongezea siku za kuishi duniani. Nikupe mfano ulio hai....umeona maisha anayoishi Mze Mpili kule kijijini kwao? Sasa wana Yanga wanamlilia yule Mze kuwa msemaji wa timu yao na mshauri mkuu wa benchi la ufundi wakati Mze wa watu hata danadana hajuwi kupiga. Kwa sasa Mze ndiyo kawa zaidi ya kocha jinsi anavyoheshimika klabuni mwao. Mpira wa kibongo ni mpira wa kijinga sana na ndiyo maana siufuatilii kamwe.
 
Mpira wa bongo hauitaji watu smart, kwa sababu washabiki wengi sio smart na wachezaji wengi ni wahuni,viongozi wahuni mashabiki wahuni ndio maana uwanja wa taifa ukajengwa temeke na sio mbezi beach
Mkuu umemaliza jibu sahihi kabisa kwa huyo utopolo
 
Walifukuze tapeli hilo.
 
Ni wachache sana wanaelewa hili,ushindi wa yanga dhidi ya simba mzee mpili kapewa ujiko kuliko zawadi mauya kuliko kocha ,kuliko benchi la ufundi na timu nzima hao ndio utopolo hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…