Ushauri wangu wa bure kwa Mabinti

Ushauri wangu wa bure kwa Mabinti

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Hakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa binti wa miaka 25 huku bibi wa miaka 60 akipata ndoa ni muujiza mkubwa.

Unapowadanganya wanaume, usifikirie kuwa hawatagundua wakati fulani. Mwanaume akikushika unacheat, jua tu mahusiano yenu hayatakuwa kama mwanzo maana wanaume hawachukulii cheating kirahisi. Tafuta mwanaume unayempenda na utulie kabla ya kupoteza maisha yako mwanadada. Kubadilisha Wanaume kama nguo hhakuna tuzo ila kuna majuto zaidi kadri muda unavyozidi kwenda😎
 
Hakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa binti wa miaka 25 huku bibi wa miaka 60 akipata ndoa ni muujiza mkubwa.

Unapowadanganya wanaume, usifikirie kuwa hawatagundua wakati fulani. Mwanaume akikushika unacheat, jua tu mahusiano yenu hayatakuwa kama mwanzo maana wanaume hawachukulii cheating kirahisi. Tafuta mwanaume unayempenda na utulie kabla ya kupoteza maisha yako mwanadada. Kubadilisha Wanaume kama nguo hhakuna tuzo ila kuna majuto zaidi kadri muda unavyozidi kwenda😎
Hii concept ya kwamba watu wanagegeda kwa kusaka tuzo mnaitoaga wapi? Watu wanagegeda kuburudisha nafsi zao.
Wanawake wanapenda migegego kama sie tunavyopenda mbususu na hamna binadamu either man or woman anaridhika na mbususu au del liboloz moja. Hiyo ni nature huwezi pingana nayo
 
Hii concept ya kwamba watu wanagegeda kwa kusaka tuzo mnaitoaga wapi? Watu wanagegeda kuburudisha nafsi zao.
Wanawake wanapenda migegego kama sie tunavyopenda mbususu na hamna binadamu either man or woman anaridhika na mbususu au del liboloz moja. Hiyo ni nature huwezi pingana nayo
Nitakutafuta Kijana wangu kuna ishu nataka unisaidie halafu tutaelewana.

Vijana kusaidiana aisee 🤣🤣🤣
 
Hakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa binti wa miaka 25 huku bibi wa miaka 60 akipata ndoa ni muujiza mkubwa.

Unapowadanganya wanaume, usifikirie kuwa hawatagundua wakati fulani. Mwanaume akikushika unacheat, jua tu mahusiano yenu hayatakuwa kama mwanzo maana wanaume hawachukulii cheating kirahisi. Tafuta mwanaume unayempenda na utulie kabla ya kupoteza maisha yako mwanadada. Kubadilisha Wanaume kama nguo hhakuna tuzo ila kuna majuto zaidi kadri muda unavyozidi kwenda😎

Wakikusikiliza katoe sadaka ya Shukrani!
 
Hii concept ya kwamba watu wanagegeda kwa kusaka tuzo mnaitoaga wapi? Watu wanagegeda kuburudisha nafsi zao.
Wanawake wanapenda migegego kama sie tunavyopenda mbususu na hamna binadamu either man or woman anaridhika na mbususu au del liboloz moja. Hiyo ni nature huwezi pingana nayo

Soma ujumbe wa huyo jamaa mara 5 utagundua wewe ni Mpumbavu, ajasema hawana hamu na hayo mambo, ila kasema wawe makini maana wao ni tofauti na wanaume!
 
Hakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa binti wa miaka 25 huku bibi wa miaka 60 akipata ndoa ni muujiza mkubwa.

Unapowadanganya wanaume, usifikirie kuwa hawatagundua wakati fulani. Mwanaume akikushika unacheat, jua tu mahusiano yenu hayatakuwa kama mwanzo maana wanaume hawachukulii cheating kirahisi. Tafuta mwanaume unayempenda na utulie kabla ya kupoteza maisha yako mwanadada. Kubadilisha Wanaume kama nguo hhakuna tuzo ila kuna majuto zaidi kadri muda unavyozidi kwenda😎
Wawaulize dada zao Wema, Kajala, na Aunty Ezekiel, si mnaona wanavyohaha kujiuza na kutafuta wanaume wa kutulia nao? Wame-expire wamebaki kuchonga miili yao ili waonekane watoto wa miaka 18 wakati wanakimbiza miaka 50 huko. Mtoto wa kike usicheze na maisha, sisi wanaume uwaga ukizengua tu, tunakutumia na kukusaliti hapo hapo mpaka uombe poo kabla hujajiua.
 
Back
Top Bottom