Ushauri: Wapi niwekeze hela yangu ya kustaafu kama Tsh. milioni 100

Moja ya shauri za hovyo tangu mwaka huu uanze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe hujanielewa.
Nimeongelea bei ya kuuza hapa mjini ni sh 105,000 mpaka 95,000 si 135,000.
Tofauti ya 30,000 mpaka 40,000 kwa pieces moja ni kubwa sana.
Ok.ila pia sio lazima kuuza kwa bei hizo hizo kama wengine na ukamaliza mzigo pia.
Nina ushuhuda watu wanauza baskeli moja 120-180k kwa sehewa na zinatoka haraka mno tena ndani ya mikoa yenye watumiaji wengi wa baskeli na wauzaji wa baskeli.
Sio lazima auzie dar tu
 
Sawa mkuu inawezekana.
 
Jamani haki kwa sasa ni ipi kwenye soko la pesa..au biashara ya pesa
 
Hakuna sehemu nyingine ya kuweka hela yako Zaid ya kumiliki nyumba za biashara , tafuta location nzuri lipa kiwanja Jenga nyumba pangisha , , kwa baadhi ya mikoa milion 100 unaweza ukajenga nyumba 3 za kupangisha ambapo kila nyumba kwa mwez inaweza kukupa 300k so jumla kwa mwez unaweza kuwa 900k umekosa nn?
 
Njoo ujenge plant ya kuchenjulia marudio ya dhahabu utakuwa unakodisha kwa mwezi milion 4 na gharama ya kujenga plant nzuri ni kuanzia tshs 40,000,000, Kuna miezi plant zinakuwa bizy wateja wanapangwa wakisubiri aliyewahi atoke aingie mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…