USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

Duh sasa kwa maisha yenu ya saivi na mmeshaasema ni tendo la kiroho mbona kama ni pointles..ai ndo nyie kutwa mnaeka wazi ubaharia wenu humu kujisifia kumlala kila anaekupa nafasi...shenz kabisa kwa taarifa yenu Mungu anakupa wa kufanana naww.
Yaan ukifika mda wa kuoa hata upate bikra hutaona umuhimu wake badala yake ni kuvuna ulichopanda.
 
Lakini na sisi wanaume ni wanafki kidogo, tungekuwa tunaamini hasa katika bikra tusingekuwa tunawatoa mabinti bikira zao na kisha kuwaacha! Tunawahukumu wasichana kama vile bikra wanajitoa wenyewe! Hili suala ni la pande zote mbili.
Unakuta Wametak wenyewe bwashee ule Ubishi kitandani ni Ugeni tuu wa Tendo sio kwamba Wanalazimishwa Saaana
Na baadae ndio tunapata watu product kama hizi Christina George Tuttyfruity
Wanao-ona kuwa na mashimo ndo mpango
 
Hapa kidonyo umeongea something amazing [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Padri atasaidia nn wakati yy hata mke hana unaenda muomba ushauri mtu ambae hajui hata changamoto za mwanamke Padri..
Aisee hiyo issue ya vibamia ni maumbile tu,na sidhani kama kuna tatizo. Ila kwa yule mwanaume ambae hawezi kabisa kusimamisha uume (hanithi) taarifa itolewe kwa Mchungaji/Padre/pasta/Shekhe na ndoa hiyo HUBATILISHWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuta Wametak wenyewe bwashee ule Ubishi kitandani ni Ugeni tuu wa Tendo sio kwamba Wanalazimishwa Saaana
Na baadae ndio tunapata watu product kama hizi Christina George Tuttyfruity
Wanao-ona kuwa na mashimo ndo mpango
Kwahyo anakuwa amekubaka au? Zile ni hisia tu maana anakuwa ameshapevuka huku akili haijakomaa ndio maana wanaoweza kuvuka ile stage wanaonekana mashujaa ila sometimea ni kwa sababu tu ya mazingira nayo huwasaidia! Mi naonaga kama unaamua kumtoa binti bikra basi uje umuoe la sivyo itakuwa haina maana ya ww kufanya hivyo
 
Padri atasaidia nn wakati yy hata mke hana unaenda muomba ushauri mtu ambae hajui hata changamoto za mwanamke Padri..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, hapaissue sio kuomba ushauri. Hpa namaanisha kwamba, umeoa lakini umeshindwa kufanya tendo la ndoa. Mkeo ana uwezo wa kutoa taarifa kwa aliyeafungisha ndoa na ndoa inaweza kubatilishwa. Hope umenielewa.
 
Mwazilishi wa huu uzi ni mchonganishi lazima tumpeleke kwa pilato...hawez kusababisha wenzanke wale vichambo hivi...kwani wakipangwa wanawake mbele unaweza kumjua bikra kwa kumuangalia..???
Halikuwa lengo langu kuleta mjadala huu ili wale wasioanazo wasemwe vibaya. Kwanza nimezungumzia kuhusu WASICHANA (wale ambao bado hawajaanza kujihusisha na ngono)ndio walengwa, nikiwasihi wajitunze ,mpaka pale watakapoolewa.

Mimi naamini kabisa kama wasichana wakiwa na mentality hii (NO SEX BEFORE MARRIAGE) aisee kutakuwa na tofauti kubwa sana hata WANAUME PIA WATABADILIKA NA KUFIKIRI KWA NAMNA YA TOFAUTI.
 
Nnayoyashuhudia mm tofauti yaan ndoa ya mwanamke bikra yenye amani kati ya nyingi nnazozijua ni moja.

Ndoa kukosa amani kunasabaishwa na vitu vingi tu hicho unachosema sidhani kama ni sababu kubwa
 
Sio wale wale,yani gumegume limeshatumika,lina majeraha kibao ya kimahusiano ulinganishe na mtoto mbichi kitu hakijagusawa useme ni the same?
hata alietumika alikuwa mpya...at the end its the same woman blaza...........wale wale....
 
Unakuta Wametak wenyewe bwashee ule Ubishi kitandani ni Ugeni tuu wa Tendo sio kwamba Wanalazimishwa Saaana
Na baadae ndio tunapata watu product kama hizi Christina George Tuttyfruity
Wanao-ona kuwa na mashimo ndo mpango
Niko vzur mkuu tena si kimwili tuu mbka vingine..ilo shimo unaloliongelea pengine ndo saizi ya dudu za mabwana za watu, sina shimo.
 
Aiseeeee, kwa hiyo unaona ni halali KUUA!! Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…