Christina George
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 673
- 783
Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok
Nyie ndio Wadandia treni kwa MbeleMmeo amekosa sababu za kukuheshimu except that?! How small minded he is!
Yani thamani yako kwake ni kuwa tu hakuna mwanaume mwingine aliyewahi kukuingilia, na id that somehow changes you become worthless?
Pardon?Nyie ndio Wadandia treni kwa Mbele
Of course hiyo ni sababu kubwa sana KWAKE ya kuniheshimu na kuendelea kuniheshimu, If you think otherwise hiyo ni wewe!Mmeo amekosa sababu za kukuheshimu except that?! How small minded he is!
Yani thamani yako kwake ni kuwa tu hakuna mwanaume mwingine aliyewahi kukuingilia, na id that somehow changes you become worthless?
Seems like a small mind kwangu, you are much more than a untapped pussyOf course hiyo ni sababu kubwa sana KWAKE ya kuniheshimu na kuendelea kuniheshimu, If you think otherwise hiyo ni wewe!
Seems like a small mind kwangu, you are much more than a untapped pussy
Mmeo amekosa sababu za kukuheshimu except that?! How small minded he is!
Yani thamani yako kwake ni kuwa tu hakuna mwanaume mwingine aliyewahi kukuingilia, na id that somehow changes you become worthless?
You took one word in my posts and focused on that. Only. One. Word.You are obsessed Sana with Small Minded
kila mtu unaona yuko Small Minded
Hebu utuambia How Big Minded you are Mr ?
Kama nimenotice kitu cha tofauti kwann nisiulize MkuuYou took one word in my posts and focused on that. Only. One. Word.
Kuna uwezekano tukahold a discussion kweli kwa mtindo huo?
Kuna mwenzako kaanzisha uzi kuhusu bikra na ndoa sijui wanaume hatujiamini kaanza kuomba moderator wafunge uzi wake maana kapigwa maneno kama Jafo alivomsema Mkandarasi hadi akazimia,nafikiri na yeye ana hali mbaya sana huko alipo.Wewe bisha tu umuhimu wa kutunza bikra mpaka ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni yeye sio mm.Kuna mwenzako kaanzisha uzi kuhusu bikra na ndoa sijui wanaume hatujiamini kaanza kuomba moderator wafunge uzi wake maana kapigwa maneno kama Jafo alivomsema Mkandarasi hadi akazimia,nafikiri na yeye ana hali mbaya sana huko alipo.Wewe bisha tu umuhimu wa kutunza bikra mpaka ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huu si mxhangoHuwa sipendi kuchangia mada za aina hii kabisa
Watunze bikra za wap masterNajua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!
Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.
Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vizuri na kuwa na mafanikio kimaisha pia huongezeka.
Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.
Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU [emoji8] na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.
Tchao.
Punguza hasira uliitoa kwa chips nnPole..nilichomaanisha mi kwamba kesi za ndoa waliooana bikra ni sawa sawa na wengine..na ndomana sijutii kuitoa yakwangu mana haileti tofauti ndoani. Narudia tena kama ambavyo wadada wengi hatuna bikra vivyohivyo wengi wenu hamna hadhi ya kupewa bikra
Watunze bikra halafu iphone utawanunulia wewe?Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!
Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.
Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vizuri na kuwa na mafanikio kimaisha pia huongezeka.
Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.
Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU 😘 na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.
Tchao.