Nlipomaloza tuu fom4..sionagi kama niliwai.inaonekana ulitolewa bikra ukiwa mdogo sana
Yes...Christina George
NA NDO TUAMKE NDOTONI HAKUNA KITU MILELE KITATOKEA ETI "NO SEX BEFORE MARRIAGE"....ili tugundue nn kwanza😂😂Halikuwa lengo langu kuleta mjadala huu ili wale wasioanazo wasemwe vibaya. Kwanza nimezungumzia kuhusu WASICHANA (wale ambao bado hawajaanza kujihusisha na ngono)ndio walengwa, nikiwasihi wajitunze ,mpaka pale watakapoolewa. Mimi naamini kabisa kama wasichana wakiwa na mentality hii (NO SEX BEFORE MARRIAGE) aisee kutakuwa na tofauti kubwa sana hata WANAUME PIA WATABADILIKA NA KUFIKIRI KWA NAMNA YA TOFAUTI.
Mmmhhh vingine vipii hivyoo?Niko vzur mkuu tena si kimwili tuu mbka vingine..ilo shimo unaloliongelea pengine ndo saizi ya dudu za mabwana za watu, sina shimo.
Kwani unajua nna umri gani saivi..na ngono sio starehe kwangu afu najua kutunza afya mbaka papuchi yangu.Mmmhhh vingine vipii hivyoo?
Sasa tangu umemaliza form four Mgodi unachimbwa hadi Leo tutegemee nini Sasa
Ngoja nikuje nione Kama haun Shimo [emoji23][emoji23]
Listens Huwezi badilisha mitazamo ya watu Kama ambavyo Watu Wameshindwa kukubadirisha Wewe juu ya hili SwalaNA NDO TUAMKE NDOTONI HAKUNA KITU MILELE KITATOKEA ETI "NO SEX BEFORE MARRIAGE"....ili tugundue nn kwanza[emoji23][emoji23]
Aiseeeee Christina George hivi ni kwamba umeumizwa sana ama tu unaamua kuendeleza mjadala huu!! Unasema bible inazidi kupitwa na wakati??😭😭😭😭😭😭 and you are a Christian!!!Uo ni upumbavu hujui tabia yangu kisa tuu bkra unatoa mahari kuuubwa kumbe hata sijui ndoa nnn...sipingani na maandiko ila siku zinavyozidi kwenda na bible inazidi kupitwa na wakati..mm ni christian na naabudu pia kwa Imani yangu ila sasa kama hata watumishi yanawashinda mimi ninani nikomae.
Na hao wanaofoji waulize kama kuna aliefika malengo zaidi tuu kuumia kwa first game na mwisho mnaachana tu kama mm na X wangu.
ila siku zinavyozidi kwenda na bible inazidi kupitwa na wakati..mm ni christian na naabudu pia .
Inaonesha wewe huna bikra halafu pia ni single mamaKila siku bikra bikra bikra.... wakipumua kidogo basi single mama. Yani hata kutunga story za kiduku lilo hawawezi? Nonsense
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini kama wewe ndio unaongea hivi.Ww unadhani kuna mwanaume anaestahili kuoa bikra saivi? Yaan hata nipate chance angel anitokee atake kurudisha bikra yangu wala sitakubali.
What is you're point Ma'm?1. Unaweza kutii amri ya 6 ya Mungu ila ukavunja zingne 9 zilizobaki
2. Magonjwa hayo hata kwenye ndoa unaweza kuyapata. Labda nikukumbushe tu kua sio kila aliyepata ukimwi alifanya uhuni dada so usiwajudge hvyo
3. Na kupendwa unaweza ukapendwa tena zaidi na mume. Kuna watu nmeshuhudia wameolewa tena na watoto kabisa ila wanapeeeendwa had wanasahau shida za dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahah asee nimecheeka, katoto!!
Ivi wewe Maandiko yenyewe yanasema tufikiri toba mda ote maana yake ni kwamba kutenda dhambi ni lazma iwe kuwaza kunena au kutenda....ni kweli imepitwa wakat bible ukitaka kuamini fatilia life ya walokole ndo utajua peponi wataenda malaika tuuu......Mimi mkkristo safi sichezei wanaume So hope futurw itakua byee kwangu, vitombi mtasubiri sanaaaaaHupangini na Maandiko, kwani Maandiko yamasema usiolewe na bikra Kama Wewe ?
Si bure usiwe na Dini Sasa Unaabudu kitu ambacho kipo outdated jamani [emoji23][emoji23] ?
I can't imagine kizazi kijacho kitakuaje
Nlijibu kutokana na sababu alizonipa... Marriage is more than virginity and making loveWhat is you're point Ma'm?
Kizazo kijacho ni kizuri sababu mpinga mkristo tayar atakua anatawala so ni mwendo wa 666 tuuu.😂Hupangini na Maandiko, kwani Maandiko yamasema usiolewe na bikra Kama Wewe ?
Si bure usiwe na Dini Sasa Unaabudu kitu ambacho kipo outdated jamani [emoji23][emoji23] ?
I can't imagine kizazi kijacho kitakuaje