Ushauri: Wateja wa mahakama a.k.a dada poa piteni hapa kuna jambo

Ushauri: Wateja wa mahakama a.k.a dada poa piteni hapa kuna jambo

Nangu Nyau

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
5,015
Reaction score
14,139
Moja kwa Moja kwenye maada.

Kabla ya yote nadeclare interest, mimi Nangu Nyau mteja mzuri sana wa madada wauza papuchi aka wauza K aka makahaba.

Pamoja na heshima yangu kwenye mambo nyeti hili ni la kwangu linalonipa burudani wazungu wanasema "my personal affair"

OBSERVATION: Kuna katabia ka hawa wachumbazi zetu aka wauza K kameshamiri sana maeneo mengi ya nchi yetu na kusababisha huduma kuwa za gharama hasa yale maeneo classic yenye hadhi. Dada zetu siku hizi wamejikita kunywa bia zetu hasa za gharama na mwishoni huishia kutupa namba za simu ili tuwatafute siku inayofuatia. Wenye mabaa, pubs, na clubs wamekuwa wakijoint venture na hawa madada kwenye hili ili kuongeza mauzo huku sisi tukipata hasara.

USHAURI: Ukimpenda mchuchu aka kahaba aka dada fresh aka mtoa huduma la kwanza mkubaliane bei kama kulala au short bila extra bills mkafanye yenu then mlipane kama matumizi mengine basi mkiwa kwenye game yenu.

Lengo la uzi huu ni kuwatonya wenzangu kwenye burudani ili kubana matumizi na kuwajurisha wachumba zetu, tunalipa kwa matumizi tu sasa.
 
Biashara hii ikiingizwa kwenye mfumo kutakuwa na ongezeko kubwa la kodi, ni biashara ambayo imeanza zamani sana na haiwezi kuja kufutika wala kuzuilika...
 
Mkuu, unawanunuliaga wale beer? Kwani nyie mnaendaga kuwachukua wapi?

Si tunachukua wale wa road. Maneno matatu tu. Bei gani. Room wapi. Twende.

shida ya wale usalama mkuu, halafu kwa hadhi yetu wengine huwezi kufika road.
Hawa wengine wanakuwaga classic kidogo, ila ndo wameshakuwa wa dili nao.
 
shida ya wale usalama mkuu, halafu kwa hadhi yetu wengine huwezi kufika road.
Hawa wengine wanakuwaga classic kidogo, ila ndo wameshakuwa wa dili nao.
Great.

Wewe tembea na hawa wa online. Badoo. Hi5. Tinder. etc.

Kama haupendi hawa wa kuonana moja kwa moja tembea na hao wa kwneye izo App sema bei zao zimechangamka ila ni walewale tu wa barabarani sema wana smartphone.

Ni kama bodaboda. Yeye mwenyewe Bolt yeye mwenyewe Boda. Bei tofauti.
 
Kuna pisi hiyo ukiitaka umeiona bar inaanza kukwambia tununulie bia na marafiki/dada zangu mara haijala hapo wewe huna hiyo budget na ungekuwa na hiyo budget ungetafuta pisi yako uliyoizoea maana hii ya usiku mmoja kwa dada poa unatumia hela nyingi afu chumbani tena umlipe.

Ila wajuba tushajua mchezo unasubiria Fala mmoja anamnunulia bia wewe unamchora Tu mara jamaa anamkimbia maana anapoteza hela hiyo ni saa nane wewe ndo unamsogelea bia moja Tu unajibebea zigo😋
 
Nawachora tu hakika hao wadada ni washirikina balaa sasa ukitembea nao unabena nuksi na mikosi balaa .mwenye masikio...
 
Tumekupata vyema mkuu, maana hizi tabia zimeenea sana jijini Dar es salaam hasa sehemu za Sinza & Tabata
 
Moja kwa Moja kwenye maada.

Kabla ya yote nadeclare interest, mimi Nangu Nyau mteja mzuri sana wa madada wauza papuchi aka wauza K aka makahaba.
Pamoja na heshima yangu kwenye mambo nyeti hili ni la kwangu linalonipa burudani wazungu wanasema "my personal affair"

OBSERVATION: Kuna katabia ka hawa wachumbazi zetu aka wauza K kameshamiri sana maeneo mengi ya nchi yetu na kusababisha huduma kuwa za gharama hasa yale maeneo classic yenye hadhi. Dada zetu siku hizi wamejikita kunywa bia zetu hasa za gharama na mwishoni huishia kutupa namba za simu ili tuwatafute siku inayofuatia. Wenye mabaa, pubs, na clubs wamekuwa wakijoint venture na hawa madada kwenye hili ili kuongeza mauzo huku sisi tukipata hasara.

USHAURI: Ukimpenda mchuchu aka kahaba aka dada fresh aka mtoa huduma la kwanza mkubaliane bei kama kulala au short bila extra bills mkafanye yenu then mlipane kama matumizi mengine basi mkiwa kwenye game yenu.

Lengo la uzi huu ni kuwatonya wenzangu kwenye burudani ili kubana matumizi na kuwajurisha wachumba zetu, tunalipa kwa matumizi tu sasa.
Mi kahaba anywi bia zangu kizembe siwezi ingia costs nje ya nayomlipa kumtia
 
Back
Top Bottom