Ushauri: Wateja wa mahakama a.k.a dada poa piteni hapa kuna jambo

Ushauri: Wateja wa mahakama a.k.a dada poa piteni hapa kuna jambo

Tumekupata vyema mkuu, maana hizi tabia zimeenea sana jijini Dar es salaam hasa sehemu za Sinza & Tabata

kila kona ya nchi mkuu, inabidi tustuke wadau tuweke taratibu zetu, tunabargain kwanza biashara ukinywa unakula hela yako sharti ukinywa lazima ukaliwe, lazima walipie huduma kwa gharama wanazotumia.
 
ughaibuni na kwingine Africa huwa ni bargaining kwanza na ikiwezekana unalazimishwa kuondoka ukahudiwe.

Hii tabia ya burebure kwa Watanzania naona imekuwa sugu mpaka kwa hawa watoa huduma.
 
Ukijua unajiuza usifichefiche, hiyo ni biashara yako acha longolongo taja bei yako ukaliwe, vinginevyo baki nyumbani usubiri kuolewa na sio kujiexpose kwa wadau halafu unaleta janjanja.
 
Back
Top Bottom