Ushauri: Wazazi wanataka kumtafutia mchumba

Ushauri: Wazazi wanataka kumtafutia mchumba

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Screenshot_20240410-183421-1.jpg


Naombeni ushauri mama yangu kanipigia simu ana sema mwaka huu nikienda Kigoma bila binti wa wawatu nitakuta ameniandalia binti huko wakuja nae mjini.

Swali: hivi ukichaguliwa mwanamke na wazazi kwa karne hii hua kuna vibe na kudumu kweli!? Kwa alie na experience 🙏🏿
 
  • ama hujaelewa hyo mistari mitatu ya kwanza, sidhani kama kuna namna unaweza kuelewa ushauri wa watu wa humu, wengine wamevurugana mara 100 ya mama yako.
  • Hayo ndio madhara ya kukimbia kijiji na ukifika mjini huna mwelekeo kifamilia.
 
Usithubutuuu...

Mapenzi ni hisia, tafuta mwenye hisia nawe, kumbuka ndoa ni mkataba.

Utajuta sana.
 
Back
Top Bottom