Mjanja M1 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 4,058 Reaction score 14,382 Apr 10, 2024 #1 Naombeni ushauri mama yangu kanipigia simu ana sema mwaka huu nikienda Kigoma bila binti wa wawatu nitakuta ameniandalia binti huko wakuja nae mjini. Swali: hivi ukichaguliwa mwanamke na wazazi kwa karne hii hua kuna vibe na kudumu kweli!? Kwa alie na experience ๐๐ฟ
Naombeni ushauri mama yangu kanipigia simu ana sema mwaka huu nikienda Kigoma bila binti wa wawatu nitakuta ameniandalia binti huko wakuja nae mjini. Swali: hivi ukichaguliwa mwanamke na wazazi kwa karne hii hua kuna vibe na kudumu kweli!? Kwa alie na experience ๐๐ฟ
K Kimbori JF-Expert Member Joined Feb 21, 2012 Posts 6,112 Reaction score 4,540 Apr 10, 2024 #2 ama hujaelewa hyo mistari mitatu ya kwanza, sidhani kama kuna namna unaweza kuelewa ushauri wa watu wa humu, wengine wamevurugana mara 100 ya mama yako. Hayo ndio madhara ya kukimbia kijiji na ukifika mjini huna mwelekeo kifamilia.
ama hujaelewa hyo mistari mitatu ya kwanza, sidhani kama kuna namna unaweza kuelewa ushauri wa watu wa humu, wengine wamevurugana mara 100 ya mama yako. Hayo ndio madhara ya kukimbia kijiji na ukifika mjini huna mwelekeo kifamilia.
Donatila JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 7,772 Reaction score 22,598 Apr 10, 2024 #3 Usithubutuuu... Mapenzi ni hisia, tafuta mwenye hisia nawe, kumbuka ndoa ni mkataba. Utajuta sana.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 11, 2024 #4 Pole sana, hayanaga muongozo... Cc: Mahondaw